Nambukwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 243
- 146
.Hello wana JF;
Asanteni sana kwa comments zenu.Nilikuwa introduced hapa na rafiki yangu.
Na akaniambia hapa kuna watu wenye mtizamo chanya na wanasaidiana sana.But this has proved wrong based on the hatred messages am receiving.Najua kwa wanaume wengi mlioko upande huu,maana yake mnatafuta,otherwise msingekuwa huku.Lakini kama mtu ametoa vigezo vyake na wewe huna,waachie wenzio,sio uaanze kukashifu na matusi.Hii inaiangusha sana JF.Kuzaa nini?Maana yake ni kujali! Kuna wanawake wangapi wa umri wangu ambao wako single na pengine wamenizidi lakini wametoa mimba kibao?Mimi sikutaka kutoa mimba ndo maana nikazaa and am not regreting that! My baby is the best thing ever has happened to me so for.Valuable than anything I posses!
Au nyie mnao comment hapo mmetoa mimba ngapi?na pengine mmewakimbia wanawake mliowapa mimba.
Asanteni sana,Tuko pamoja
Uwiiiii!!!! ndo topic imefungwa?????
wapendwa endeleeni na huduma ya kucoment maana mlikuwa mnasema na watu hapa.:becky::becky: