duh huku ni kunitega mkuu we kama unanipa nipe tuUsingekomenti katika thiedi hii ningekupa mshahara wangu.
Shahidi yako niko pembeniduh huku ni kunitega mkuu we kama unanipa nipe tu
asante mtani ila jioni na kwako nakuja
asante mtani ila jioni na kwako nakuja
kuchukua zakoMiss Chagga mutu ya kazi
"na kwako nakuja" baada kutoka kwa?
hah hah hah hah
Hahahahaha 😛 😛 😛 😛 😛 wtaisoma namba siku hii pambana na hali yako![]()
![]()
hizi ndio zile tarehe za bebi l miss you.... Bebi I love you... Ama bebi sikia nikwambie.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaze mtani yote yako leo.... Unijie na mdindifuasante mtani ila jioni na kwako nakuja
sawa mtani
Tugawane Mkuu!
Wote Huo!!!!?
Duuu kweli mijitu INA macho pesa za mwenzako inamuhesabia huko hukohapo naiona m3 laki 2 na buku 5
uko vizuri babu
Kudadandunyi,Mshana utaenda kupimwa makojoo,nyara ya sirikali unaanika hadharani ovyo.Ngoja waje waseme una takatisha pesa.
Duuu kweli mijitu INA macho pesa za mwenzako inamuhesabia huko huko
Eti m3 na 5000 da JF bwana
Mpe anae kupa