Hupatwa na haja kubwa kabla ya kuanza kugegeda

KUMBAMBANDILA

Member
Feb 21, 2016
86
62
Ukisikia unaweza usiamini lakin ni kwel kabisa hakuna ata chembe ya uongo.

Kuna jamaa yangu wa karibu sana anaishi magomeni na anajishughulisha na mambo ya udalali.

Aliniambia ana tatizo la kupatwa na haja kubwa mara tu anapojiandaa kukutana kimwili na mpenzi wake na hasa kwenye mpenzi mpya.

Anasema ata awe hajapata choo wiki mzima, mara tu akiwa na appointment ya sex na mchumba siku hiyo atashusha mzigo wa nguvu.

JF ni pana na ina watu wenye hadhi tofauti, Naomba kama kuna doctor au mwana saikolojia atufafanulie kitaalam tupate mwanga kidogo.

NB.kwa kifupi ni kwamba jamaa lazima anye kabla ya sex ata kama alikua na matatizo ya choo kwa wiki mzima.
 
Hapa wanahitajika makungwi zaidi ya wale wa jandoni ili wampe ushauri.Ngoja nitege zangu angle nisubirie nini watakachomshauri huyu ndugu
 
aiseeeee nilifikiri ni mimi peke yangu.mana hata leo wakat demu wangu amenitext kuwa anakuja nkashangaa na mimi kimba likanishika nkaenda kukata gogo fastaaa.na mimi syo mwanaume wa dar.sasa hapo mnasemaje wadau
 
aiseeeee nilifikiri ni mimi peke yangu.mana hata leo wakat demu wangu amenitext kuwa anakuja nkashangaa na mimi kimba likanishika nkaenda kukata gogo fastaaa.na mimi syo mwanaume wa dar.sasa hapo mnasemaje wadau

Kumbe hii hali itakua inawahusu weng wengine wazito kujieleza.
 
Dawa kabla ya mechi mpya achonge gunzi la muhindi ....azibe nalo mtaro hapo atakua kamaliza tatizo kabisa na atafauda mechi mpya vizuri
 
Mbona Hakuna tatizo kwanza kunya ni Kitendo ambacho unatakiwa ukitegemee Wakati wowote... As long upo sehemu yenye toilet na sex unafanya bila matatizo basi sio tatizo hilo kutokea bado ni mwili wako
Asante
 
Chanzo chake ni hofu. yaani mtu anakuwa anawaza sijui mechi itakuwaje? sijui nitamtosheleza? n.k. na zaidi hutokea kwa mpenzi ambae hujazoeana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom