Huna mpenzi bali una tapeli. Mwandikie SMS kuwa una shida na elfu 10 chap halafu subiri majibu

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,709
36,165
Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.

Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.

Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
 
JamiiForums-1413076056.jpg
 
Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.

Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.

Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Pole lakini amini mapenzi yapo ndugu yangu, omba Mungu akukutanishe na MTU sahihi, uta enjoy.

Wanawake hao unaowasema wewe wengine wanatupa mpaka tunakataa wenyewe. Acha kabisa
 
Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.

Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.

Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Sasa inakuwaje unaomba 10k ovyoovyo, hao ni wanafunzi wa vyuo ndio wanaombaomba
 
Ni fasheni tu kuliwa hela, usipotoa kuna wengine watatoa na kuwala hao totoz. Ila kuna wa gharama nafuu japo masela wengi hawawapendi wa gharama ndogo
 
Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.

Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.

Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Wenetu huwa mnakosea wapi kuchagua wanawake, Pisi inashindwa kukuokoa na ten kweli?
 
Back
Top Bottom