Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,165
Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.
Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.
Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.
Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.
Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.