Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,053
- 7,264
Duh atakama una shida na ela ila hiyo ni too muchNdio naweza kufua nguo za ndani za mwanaume mwenzangu
sio hizi safi tu hata zile ambazo kazichafua na haja nafua tena
kwa ubora wa hali ya juu,sina kinyaa,najua namna yakujitunza afya yangu
siogopi chochote,natafuta maisha sitafuti Show Off,ninapokua sina pesa nazitafuta sana mkuu
kazi pekee ambayo sitofanya ni yakumkosea muumba au kuvunja sheria za nchi,zingine zote nafanya.
ukinikuta natafuta pesa mkuu,wewe ukitaka hata kunitemea mate nitemee sitokufanya kitu,si unajiona
umeyapatia sana,its ok with me,ninachojua tu siku zote hakunaga situation Permanent,everything is temporary tu, hata hali hii ya umaskini wa kufua hizo nguo muda wake utapita tu,n muda tu boss.