Ngoja nikuweke kwenye Hansard zangu hapa, najua JF itakuwepo na tutafukua makaburi, INSHALLAH!mara nyingi ishu ya kuongezewa muda huwa inakua kwenye muhula wa mwisho sio sasa hivi,kwa sababu anajua akisema sasa hivi hali itakua si shwari,subiri muhula wa pili ndio mtapata majibu
Kudos mkuuNi kujitoa ufahamu mkuu, angeanzia kulalamikia hapo tungemwelewa.
Una akili sana mkuu. Ni style ya PK kwamba aje aseme wananchi wamemuomba aongeze muda. Na ndo ajenda nafikiri ktk ugeni huu. Wanataka kuyapanga maana bado mpaka sasa hajafanikiwa.Inawezeka ujio wa polepole umechangia polepole kuongelea maswala ya kuongoze muda wa uraia?au wananchi wanaandaliwa kisaikolojia kuwa likija kutokea huku mbeleni ionekane ni wananchi wenyewe wanataka rais aongezewe muda na sio rais anataka?
You guys mpoje??? Hii nayo inatolewa press na ikulu??? Mambo ya kiccm mnatuletea hovyo kabisa
mimi nimesema wakimuongezea muda atakuwa ametenda uhaini zidi ya Tanzania na atakuwa adui yangu sinceRais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687