Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 6,122
- 6,062
Nawe umehisi ndie mhusika? 😅JIFAGILIE!
😅
... kama siye basi ni ule mtandao wao wa wajingawajinga waliookota dodo chini ya mbuyu na kufikiri kila siku ni ijumaa!Nawe umehisi ndie mhusika? 😅

Heee kumbe wahuni wapo kitamboDr. Mvungi alikuwa kikwazo kwa haya wanayotaka CCM hii leo ili kuondoa udhia WAKAMUA ushahidi wa kuhusika huku kwa hawa jamaa ni ile movie ya KOVA kwenda kwenye vyombo vya habari na kuonyesha Bendera na Kofia zenye rangi za CDM kuwa ndio walizokamatwa nazo wahusika wa tukio lile lakini baadae tukasikia matamko kuwa Familia na wahusika wamesamehe mungu atawahukumu waliohusika na ndio ukawa mwisho wa ufuatiliaji wa tukio lile na hata wale tulioambiwa wamekamatwa sijawahi kusikia mwendelezo wa kesi ile.
Kwa hiki anachokifanya bwn polepole ni vema akajilinda na hawa wauaji kwani wanaweza kumziba mdomo kwa kumkatisha uhai wake ili waendelee na hizi sarakasi zao za kupindua maoni ya wananchi na hapa ndipo ninapoona uhalisia wa hili jina CHAMA CHA MAPINDUZI
Kova anaendeleaje huko alipo?Dr. Mvungi alikuwa kikwazo kwa haya wanayotaka CCM hii leo ili kuondoa udhia WAKAMUA ushahidi wa kuhusika huku kwa hawa jamaa ni ile movie ya KOVA kwenda kwenye vyombo vya habari na kuonyesha Bendera na Kofia zenye rangi za CDM kuwa ndio walizokamatwa nazo wahusika wa tukio lile lakini baadae tukasikia matamko kuwa Familia na wahusika wamesamehe mungu atawahukumu waliohusika na ndio ukawa mwisho wa ufuatiliaji wa tukio lile na hata wale tulioambiwa wamekamatwa sijawahi kusikia mwendelezo wa kesi ile.
Kwa hiki anachokifanya bwn polepole ni vema akajilinda na hawa wauaji kwani wanaweza kumziba mdomo kwa kumkatisha uhai wake ili waendelee na hizi sarakasi zao za kupindua maoni ya wananchi na hapa ndipo ninapoona uhalisia wa hili jina CHAMA CHA MAPINDUZI
Polepole atalizungumzia hili pia kwenye episode zake zinazokuja. Wahuni matumbo joto.Heee kumbe wahuni wapo kitambo
Asante sana brazaj kwa hii kumbukumbu. Nimeisoma mwanzo hadi mwisho. Kidogo kidogo naanza kumwelewa Camarada Polepole...Huyu mwamba bila mapendeleo kaiva - TAL type hazina kubwa kwa taifa hili, na kawakamata wahuni pabaya.
Pole Pole yupo mbele ya muda. Sema alipata ajali mbaya kwa kukubali kufanya kazi za ccm.Huyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania ni hazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole.
Mimi mtandao mmoja wa Singasinga tumbo la puto 😄... kama siye basi ni ule mtandao wao wa wajingawajinga waliookota dodo chini ya mbuyu na kufikiri kila siku ni ijumaa!
😅 NB: Wanyonge tumebararuka!![]()
hapa ameshayabanangaPolepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.
Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.