mteule senior
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 296
- 197
Kumbe alimaliza azania mwaka gan mzeeKile kichwa ni noma tulio soma Azania sec tunamfahamu vizuri sana!
selfish
Kumbe alimaliza azania mwaka gan mzeeKile kichwa ni noma tulio soma Azania sec tunamfahamu vizuri sana!
selfish
Napitia huu UziHumphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.


Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Kajamaa huwa sijui kanajiamini nini. 2022 kabla ya kuwa balozi, aliitwa na kamati ya nidhamu ya ccm sababu ya ukosoaji wake. Akasema ccm hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza labda litokee jitu lenye miguvu sana, na atamtolea dirishani.Huyu mwamba bila mapendeleo kaiva - TAL type hazina kubwa kwa taifa hili, na kawakamata wahuni pabaya.
Kajamaa huwa sijui kanajiamini nini. 2022 kabla ya kuwa balozi, aliitwa na kamati ya nidhamu ya ccm sababu ya ukosoaji wake. Akasema ccm hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza labda litokee jitu lenye miguvu sana, na atamtolea dirishani.
Sikujua kwann ccm hawakumfukuza kweli
AmeenPolepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.
Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Naam!Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.
Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Nimeanza kufufua mafaili ya mbabe wa wahuniHumphrey Polepole ana uwezo mkubwa sana apewe tu.
Naam!Nchi ina watu wengi wenye weledi mkubwa sana ndugu zangu na huyu ni mmoja wao, ila mfumo hauruhusu kumea na kushamiri kwa watu wasio tegemezi na wenye fikra huru!!!!!
Wako vijana wengi sana wazuri kichwani na wako motivated sana ila hawataki kukuru kakara za uweledi kuingiliwa na siasa yaani ni kama wasomi wamesusia wanasiasa waendeshe nchi watakavyo liwalo na liwe sababu hata wakichangia wanaonekana kwenye mchakato lakini kwenye maamuzi au implememtation wanaachwa......mfano ndio huo wa tume...... kwa sasa wanaonekana wabaya, wamefanya kazi hovyo na kama hayo !!!!!!
Wakati tume ilitakiwa iwepo na huko bungeni wakae na kutoa ufafanuzi kila inapohitajika ila ndio kama hivyo sasa!!!!!!!
Naam!Kile kichwa ni noma tulio soma Azania sec tunamfahamu vizuri sana!
selfish
PolepoleTunapozungumzia wazalendo na watu wenye KARAMA ya Mungu huyu jamaa pia yumo.
Hakika anayachambua na kuyaweka bayana kabisa masuala hususani yale ya kwenye Rasimu.
Jamaa ni mtu wa pekee kabisa,hakika anajua.Mungu amsaidie kwakweli.
Kama kweli una mtazamo CHANYA na haujajazwa MANENO utamwelewa sana bwana Polepole.
Naam!That one is a genious, siku zote anajua anachokifanya na angekua mtu wa kupenda sifa watu wangeshamskia kwenye siasa but he keeps a low profile ila ukipata nafasi ya kufanya nae kazi utajua kwamba ni kichwa tofauti sana..
HumphreyHuyu Humphrey Polepole ni hazina ya taifa letu. Ni kijana mzalendo kupita kiasi. Mungu amubariki sana.
Halafu linatokea mtu eti ni mwanaharakati kisa kawashika vibaya wanamtandaoYaani hata mimi kila akianza kuongea sitaki amalize, akiongea ana mvuto fulani natural kama baba wa taifa alivyokuwa, nikimuangalia namkumbuka sana baba wa Taifa. Ni kijana charismatic kuliko kijana mwingine yeyote Tanzania kwa wakati huu, nina uhakika angepata chama akatangaza nia angepata kura nyingi mno, urais sio age bwana au experience, kwani Kabila mdogo alipochukua nchi ya Congo ambayo politics zake ziko more complicated zaidi ya Tanzania alikuwa na uzoefu gani? Na mbona ame manage?
NaamPole pole alikuwa ni rebo nyeusi kaka.
Kama unakumbuka alikuwa pamoja na kiranja mmoja alikuwa mnoko sana baadae akapata div4 alikuwa anaitwa Nyakia.
Alianza kitambo sanaPolepole ni hazina kubwa ya taifa mm binafsi nilianza kumfaham 1999 pale Azania nikiwa kdto cha kwanza,jamaa ni nguli wa midaalo(debates) haa
.. si mchezo Mzizima,Tambaza,Loyola,Shaban Robert,St Anthony n.k walikuwa wanakaa. Alileta computer km tatu kwa shule km zawadi za ushindi enzi hizo computer si mchezo. Kwa ufupi jamaa anajenga hoja na lugha ya ngeli km alizaliwa huko
NaamAliwahi kutamka wazi wazi kwenye Malumbano ya hoja Itv kuwa yeye ni mwanachama hai wa ccm lakini suala la katiba ni kwa manufaa ya wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama,Mungu na amtangulie sababu wasema ukweli na wenye kuusimamia ukweli wazi wazi ni wachache na maadui wao ni wengi.