Nimeikuta mahali hii
Ndugu yangu Polepole nakukumbusha Newton Third Law of Motion. Action and reaction are equal and opposite. Ajifunze awamu ya tano ilivyoshughulika na Membe na Lissu ndivyo wanasiasa wanavyoweza kufanyiana.
Siasa sio sawa na kazi za Civil Society. In politics you deal with matter in cycles not direct but in civil society you can go direct. Don't be direct in politics watakumaliza.
Kama jinsi ambavyo kuna kinga, haki na madaraka ya Bunge vivyo hivyo kuna kinga, haki na madaraka ya Rais.
Rais anaapa kulinda mambo mawili 1. Katiba na 2. Urais wenyewe. So ukigusa katiba na Urais ni sawa na umerusha jiwe kwenye makazi ya nyuki.
Bulembo ameonyesha chuki waliyo nayo unaowaita wahuni dhidi yenu. They capable of anything wasije kurudi kwenye zama za awamu ya tano.
Yupo Bwana mmoja Tanga kwenye kikao cha tadhimini ya operesheni sangara Tanga 2009 alisimama kwa sauti kubwa na madaha akamwambia Mbowe; Mwenyekiti mimi niko tayari kupambana kufa na kupona. Mbowe akamwambia kamanda pambana kupona ukifa harakati zitakufa.
Polepole kwa anavyoenda anapambana kufa na kupona, retreat man upambane kupona maana hawatanyamaza mpaka waridhike wamekumaliza.
Ulimboka ilikuwa awamu ya nne, Kombe awamu ya tatu, Lissu awamu ya tano, akina Chipaka awamu ya kwanza so awamu ya sita nayo lazima iwe na wake
My take
Polepole unaweza kufukuzwa CCM ili uwe nchikavu kwanza
Ndugu yangu Polepole nakukumbusha Newton Third Law of Motion. Action and reaction are equal and opposite. Ajifunze awamu ya tano ilivyoshughulika na Membe na Lissu ndivyo wanasiasa wanavyoweza kufanyiana.
Siasa sio sawa na kazi za Civil Society. In politics you deal with matter in cycles not direct but in civil society you can go direct. Don't be direct in politics watakumaliza.
Kama jinsi ambavyo kuna kinga, haki na madaraka ya Bunge vivyo hivyo kuna kinga, haki na madaraka ya Rais.
Rais anaapa kulinda mambo mawili 1. Katiba na 2. Urais wenyewe. So ukigusa katiba na Urais ni sawa na umerusha jiwe kwenye makazi ya nyuki.
Bulembo ameonyesha chuki waliyo nayo unaowaita wahuni dhidi yenu. They capable of anything wasije kurudi kwenye zama za awamu ya tano.
Yupo Bwana mmoja Tanga kwenye kikao cha tadhimini ya operesheni sangara Tanga 2009 alisimama kwa sauti kubwa na madaha akamwambia Mbowe; Mwenyekiti mimi niko tayari kupambana kufa na kupona. Mbowe akamwambia kamanda pambana kupona ukifa harakati zitakufa.
Polepole kwa anavyoenda anapambana kufa na kupona, retreat man upambane kupona maana hawatanyamaza mpaka waridhike wamekumaliza.
Ulimboka ilikuwa awamu ya nne, Kombe awamu ya tatu, Lissu awamu ya tano, akina Chipaka awamu ya kwanza so awamu ya sita nayo lazima iwe na wake
My take
Polepole unaweza kufukuzwa CCM ili uwe nchikavu kwanza