Humphrey Polepole kuwa makini, Samaki yake maji

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Nimeikuta mahali hii

Ndugu yangu Polepole nakukumbusha Newton Third Law of Motion. Action and reaction are equal and opposite. Ajifunze awamu ya tano ilivyoshughulika na Membe na Lissu ndivyo wanasiasa wanavyoweza kufanyiana.

Siasa sio sawa na kazi za Civil Society. In politics you deal with matter in cycles not direct but in civil society you can go direct. Don't be direct in politics watakumaliza.

Kama jinsi ambavyo kuna kinga, haki na madaraka ya Bunge vivyo hivyo kuna kinga, haki na madaraka ya Rais.

Rais anaapa kulinda mambo mawili 1. Katiba na 2. Urais wenyewe. So ukigusa katiba na Urais ni sawa na umerusha jiwe kwenye makazi ya nyuki.

Bulembo ameonyesha chuki waliyo nayo unaowaita wahuni dhidi yenu. They capable of anything wasije kurudi kwenye zama za awamu ya tano.

Yupo Bwana mmoja Tanga kwenye kikao cha tadhimini ya operesheni sangara Tanga 2009 alisimama kwa sauti kubwa na madaha akamwambia Mbowe; Mwenyekiti mimi niko tayari kupambana kufa na kupona. Mbowe akamwambia kamanda pambana kupona ukifa harakati zitakufa.

Polepole kwa anavyoenda anapambana kufa na kupona, retreat man upambane kupona maana hawatanyamaza mpaka waridhike wamekumaliza.

Ulimboka ilikuwa awamu ya nne, Kombe awamu ya tatu, Lissu awamu ya tano, akina Chipaka awamu ya kwanza so awamu ya sita nayo lazima iwe na wake

My take
Polepole unaweza kufukuzwa CCM ili uwe nchikavu kwanza
 
Mzee Polepole, akina Nape walipoenda kwa Mzee wako wakipiga magoti wanalia wakiomba msamaha hawakuwa wajinga, walijua fika kwamba ndani ya CCM mfumo wa kukosoana waziwazi haupo, na ndiyo maana sisi na wengine tumeshalitambua hilo na tumeamua kwa pamoja kupigania katiba mpya ili tuwe na mfumo thabiti wa kukosoana wakati watawala wanapokwenda siko.

Sasa ndugu unaowaita wahuni wamekubeep ili ukiendelea na tabia zako za chokochoko wakupigie kabisa. Pole sana ndugu. - nakushauri kaa kimya mziki wa kukosoa CCM na Serikali yake hutauweza - waachie Wanaume.
 
Nimeikuta mahali hii

Ndugu yangu Polepole nakukumbusha Newton Third Law of Motion. Action and reaction are equal and opposite. Ajifunze awamu ya tano ilivyoshughulika na Membe na Lissu ndivyo wanasiasa wanavyoweza kufanyiana.
Polepole asipoongea sisi tutaongea 2025 kiulaini kabisa.

Ila wacha aongee. Akina Nyerere wasingeongea wakoloni wasingeondoka.
 
Polepole asipoongea sisi tutaongea 2025 kiulaini kabisa.

Ila wacha aongee. Akina Nyerere wasingeongea wakoloni wasingeondoka.
Hahaha, eti utaongea 2025!! Subiri 2030 maana 2025 ameshapitishwa, Pole sana, miaka 9 siyo mingi sana, vumilia
 
Huyu jamaa hakuna mwananchi anamuonea huruma,huyu ndie likuwa mstari wa mbele yeye na yule mijicho katika madai ya kuipanga katiba mpya na wananchi waliwapa sapoti kubwa sana na wakiaminia msimamo wao ndio unaofuatwa,mwisho wa skiku akawageuka wananchi na kuwapiga madongo na kujifanya hajui wala hana habari na katiba.

Leo hii huyu jamaa ana maradhi ya kutetemeka mikono na kama mnamuangalia katika kuibabaisha ile hali ya laana kwa aliyowaandikia wananchi wakati wa Katiba,mtamuona anajikuna kichwa sana ,maara anafungata vidole vya mikono miwili kwa pamoja mara hutoa mkazo kwa mikono ,lakini mikono akijaribu kuituliza kwenye meza basi inaaza kutetemeka.

Polepole ni Mnafiki mkubwa sana alie wazi na kubwa ni baada ya Magufuli kuingia madarakani na kumfadhili huyu jamaa aiianza kukengeuka kila kitu na kujiona yupo chini ya raisi Magu,kama hakuona kilichomkuta Bashite ,alijiona yupo chini ya Raisi hata kusmshinda makamu,na ndio tunaona leo ule ulevi aliobaki nao anaropoka mambo ya aibu na fedheha kumuona Raisi Samia hafai au anachokifanya Raisi Samia hakina mpangilio.

Raisi Samia alimuona mwanzo huyu jamaa kuwa ni mzigo mpiga debe asie tumia akili ,akamuweka kando na mapema,lakini bado Polepole anaendelea kurusha madongo. Tatizo hana sapoti ya wananchi,kwani wananchi walishamuona si wa maana ,
 
Huyu jamaa hakuna mwananchi anamuonea huruma,huyu ndie likuwa mstari wa mbele yeye na yule mijicho katika madai ya kuipanga katiba mpya na wananchi waliwapa sapoti kubwa sana na wakiaminia msimamo wao ndio unaofuatwa,mwisho wa skiku akawageuka wananchi na kuwapiga madongo na kujifanya hajui wala hana habari na katiba.
Acha maneno mengi pole pole amechagua kuwa na Wananchi katika shida na raha
 
Alituambia unyakuo ni 2035 - sasa hatujui kama ndiyo huo umeanzia pale kwake 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom