comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,505
Polepole alituachia wimbo huu kabla ya kunyakuliwa na kupelekwa pasipofahamika.
Aliandika 👇👇👇
Nimelazimika kuingia studio na kuzalisha wimbo huu.
Nina "udediketi" wimbo huu kwa mwana CCM mwenzangu aliyetumia vyombo vyote vya habari jana. Ujumbe huu uende kwake na kwa kundi lote haram la CCM Mtandao.
Wimbo huu utumike kujenga hamasa na molari katika mapambano dhidi ya wahuni katika Nchi yetu na katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wimbo huu hauna hati miliki uko huru kutumika na mtu yeyote anayeamini katika kampeni ya ku #kataawahuni
Wale wataalam wa kucheza muwe huru kuutengenezea namna ya kuucheza na steps kali kama zote.
Tanzania bila wahuni inawezekana
! Hasta la Victoria Siempre
Aliandika 👇👇👇
Nimelazimika kuingia studio na kuzalisha wimbo huu.
Nina "udediketi" wimbo huu kwa mwana CCM mwenzangu aliyetumia vyombo vyote vya habari jana. Ujumbe huu uende kwake na kwa kundi lote haram la CCM Mtandao.
Wimbo huu utumike kujenga hamasa na molari katika mapambano dhidi ya wahuni katika Nchi yetu na katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wimbo huu hauna hati miliki uko huru kutumika na mtu yeyote anayeamini katika kampeni ya ku #kataawahuni
Wale wataalam wa kucheza muwe huru kuutengenezea namna ya kuucheza na steps kali kama zote.
Tanzania bila wahuni inawezekana
! Hasta la Victoria Siempre