chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,305
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.
Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.
Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao
Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.
Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.
Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao
Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.
Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!