Humphrey Polepole atakuwa channel 10

Humphrey Polepole atakuwa channel 10

Kwa mtu anayeitwa Polepole uadilifu kwake ni Lowassa tu. Chenge, Tibaijuka na wengineo ni waadilifu waliotukuka.

Kwake yee na ma CCM wenzio List of shame inamhusu Lowassa tu.

Kwake yehe Kuhama kwa Lowassa na Sumaye basi chama kimekuwa kisafi na hakuna uchafu.
Kwake yeye Magufuli hana kashfa hata moja.

What a shame kumuangalia?
 
Hata akiwa chanell 20 habadiliki mtu Hao wote ni matapeli wakubwa
 
Nadhani kati ya watu jasiri nchini, huyu polepole ni mmoja wao. Nakukubali sana tutakuwepo kusubiri maziwa tuondoe sumu..
Hivi watu hawajamchoka tu huyu opportunist wa CCDM? Ana mkataba gani na channel 10?
 
Yaaaaani huyu jamaa Humphrey Polepole yupo vizuri sana na huwa namsikiliza na ku note kila point anayoisema na kuikosoa pale ninapokuwa na details za hicho kitu but huwa nachoka na kuhisi kuzima screen pale anapotetea ccm hata kama wanakuwa wamekosea.! Me nadhani akiwa mkweli pale unapotakiwa atakuwa mtu poa..!
 
Saafi sana mwaka huu mpaka watu waseme pooooo ..saa ngapi wakuu?

Ngoma ya polepole inaanza saa 4 baada ya Dr Slaa kumaliza Star tv. Hii ikoje hii. Bado Zitto, Mwakyembe, Sitta, Mzee Warioba, na Baadhi ya Wanasheria. Lets wait loading
 
Saaa nne sawa make saa tatu tutakuwa na Dr Slaa
 
Tenesco wamekata umeme wanamuokopa slaa atawasema vibaya, ndio maana Mwanza wamekataa umeme
 
Polepole hana tofauti na Dr. Slaa.Naona uchaguzi mkuu 2015 ni deal kwao,baada ya oct.25 watakula mihogo.
 
Nadhani kati ya watu jasiri nchini, huyu polepole ni mmoja wao. Nakukubali sana tutakuwepo kusubiri maziwa tuondoe sumu..

Dah ngoja nipitie DVD library maana naona baada ya taarifa ya habari kule mwanza atakuwepo NESI, hilo ndo jina alilopewa mtaani eti walifikiri jamaa ni DR kumbe ni NESI....na huku kuna kada wa chama kongwe-aka harakaharaka.....
 
Muulize tanganyika itarudi chini ya utawala wa magufuli...akikujibu ndio ntampaka kula yangu October
 
Tatizo la Hp anatabirika atakachoongea, nimemsikiliza akiongea kupitaia Star Tv, Clouds FM, TBC mambo ni yaleyale. Kwa mfano ataongea kwamba kiongozi hatakiwi kuwa tajiri! huu ni ujuwa hata china wajamaa Deng Shao Ping alikataa siasa za namna hiyo zimepitwa na wakati. Ataongea tena kwamba kiongozi hutakiwi kuwa na madoa, Nani kakwambia kwamba tunatafuta malaika?

Katiba ya nchi inatamka kwamba kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa na hakuna kifungu kidogo chochote kinachosema tajiri hatakiwi kuwa kiongozi. Kama napalilia umaskini ni yeye na familia yake. Kinachotakiwa si kumzuia mtiu tajiri kuwa kiongozi bali ni kuweka mfumo unaomlazimisha kiongozi hata kama ni tajiri asijipendelee. George Bush na Dick Cheney ni matajiri wakubwa lkn walipewa uongozi wa nchi ya Marekani.

Naweza nikatabiri mengine lkn niishie hapa
 
njeeseka polepole anatwanga maji kwenye kinu. saa nne watu wanaangalia mechi hawana mpango na ngonjera zake. wamekwisha muelewa kuwa anajipigia debe awe mkuu wa wilaya lakini sisi tunasonga mbele mapambano yanaendelea. polepole na ccm yako tutawabwaga kwenye sanduku la kura oktoba 25
Nadhani kati ya watu jasiri nchini, huyu polepole ni mmoja wao. Nakukubali sana tutakuwepo kusubiri maziwa tuondoe sumu..
 
Ngoma ya polepole inaanza saa 4 baada ya Dr Slaa kumaliza Star tv. Hii ikoje hii. Bado Zitto, Mwakyembe, Sitta, Mzee Warioba, na Baadhi ya Wanasheria. Lets wait loading

Mko wengi. kinachowaunganisha hivi sasa ni nini ? Mmesahau hata swala LA katiba
 
Inasemekana kanatumia cheo kuomba mapenzi kwa akina Dada wafanyakazi wenzake! Ni kafisadi ka ngono ofisini!
 
Nadhani kati ya watu jasiri nchini, huyu polepole ni mmoja wao. Nakukubali sana tutakuwepo kusubiri maziwa tuondoe sumu..

Hivi hizi TV hazina wazungumzaji wengine tofauti na huyo Polepole?huyu jamaa ni mnafiki wa hali ya juu
 
Nimetokea kuwachukia wanasiasa sana mwaka huu.. Wengi wapo kimaslahi zaidi. I cant imagine hata wale wa katiba ya Warioba na serikali tatu nao sasa wanashabikia serikali mbili..Including Polepole..nilikuwa namwona strong sana lakini naye kawa kama Dr Slaa..
 
Back
Top Bottom