Nadhani kati ya watu jasiri nchini, huyu polepole ni mmoja wao. Nakukubali sana tutakuwepo kusubiri maziwa tuondoe sumu..
izzo: kuhoji uadilifu wa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa iwe noma, du, kweli ushabiki ni noma! Kura yangu nitaitumia kwa busara kwa kumpa tu yule ambaye ana uadilifu wa kuridhisha. Nimeshauri kwenye JF wagombea ngazi zote, hasa Uraus wataje mali zao na jinsi walivyozipata, katika kampeni zinazoendelea mbali na ahadi. Hili litatupa sisi wapiga kura nafasi ya kupima uadilifu wa, pia kuhakiki kujilimbikizia mali isivyo halali, wakiwa madarakani.wasiotumia akili ndilo kundi pendwa na chama cha mapinduzi i nadhan HP ni mmoja wa watu wa kundi hili pendwa kwa ccm
Acheni ujinga jamani makamanda msiongee bila kujielewa. Hao wakina Chenge, Tibaijuka na wengineo ata deal nao Magufuli. Hoja ni yule anayekalia kiti cha urais tuu kwa sasa. Mbona sisi ukawa tunasema hoja ni kwanza kuingoa ccm, halafu tuta deal na Lowasa baada ya hapo. Dr Slaa haikubali hoja hii kwa sababu atapoupata urais tu Lowasa basi katiba itamlinda. Atakuwa siyo unayemjua. Sasa embu tuambizane tutashughulika naye vipi wakati yupo ikulu.ni ndoto tunazodanganywaaa! Wananchi tuzinduke.Kwa mtu anayeitwa Polepole uadilifu kwake ni Lowassa tu. Chenge, Tibaijuka na wengineo ni waadilifu waliotukuka.
Kwake yee na ma CCM wenzio List of shame inamhusu Lowassa tu.
Kwake yehe Kuhama kwa Lowassa na Sumaye basi chama kimekuwa kisafi na hakuna uchafu.
Kwake yeye Magufuli hana kashfa hata moja.
What a shame kumuangalia?
sijui nimelogwa. kwani wanavyo mtukana Lowasa ndiyo mimi na zidi kumpenda. kura yangu anayo hata wasemaje. Lowassssssaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa