Humphrey Polepole atakuwa channel 10

Humphrey Polepole atakuwa channel 10

Ukawa akikisheni mtatafuta mtu wa kumkaba pole pole,yeye kila siku yuko kwenye tv,na akiwa kwenye tv kazi yake ni kumchafua lowasa tu,msikubali,mtafutieni dogo mmoja kutoka bavicha ama bawacha mwenye kichwa kizuri amkabe huyu mpotoshaji mapema na apambane naye
Huyu mtu ni mtakatifu wa kusema uongo na kusingizia wenzake ni wezi
Wewe kamanda jitambue. Embu mpe na hoja au ajenda za kuzungumzia. Usiseme tu kwa maneno fanya na matendo basi.
Agenda zote za kupiga tumezitia mfukoni. Hivi tuna ajenda ya kuzungumzia kweli.??
Tafakari chukua hatua
 
Ukawa hakuna mtu mwenye kuhangaika na waganga njaa hao thanks!! tupo ktk campaigns za uhakika na busara! Wana ukawa wana msimamo, huyo tunawaachia Ma CCM wamshangilie! no time wasting to useless culprits!!
 
Kama ni kumkabili kwa hoja, basi Dr Slaa ndo mtu pekee mwenye uwezo wa kukabiliana na Polepole...ila kama ni kwa matusi na vijembe....chukueni bavicha yeyote afanye hiyo kazi
 
Polepole mganga njaa tu,Hana hadhi ya kupambanishwa na mtu yeyote kutoka ukawa.
 
Huyu pole pole tumekwisha mdharau siku mingi baada ya kumtambua kumbe ni gamba la kenge
 
wamtoe wapi huyo mtu? hivi kwa akili yako kuna mtu wa kujibu hoja za polepole kutoka ukawa? tena ukawa yenyewe hii ya wapiga dili?

Ukawa akikisheni mtatafuta mtu wa kumkaba pole pole,yeye kila siku yuko kwenye tv,na akiwa kwenye tv kazi yake ni kumchafua lowasa tu,msikubali,mtafutieni dogo mmoja kutoka bavicha ama bawacha mwenye kichwa kizuri amkabe huyu mpotoshaji mapema na apambane naye
Huyu mtu ni mtakatifu wa kusema uongo na kusingizia wenzake ni wezi
 
Polepole ana bei huyo. Amenunuliwa na CCM.

Hbr ya MAMLAKA kamili ya ZANZIBAR sio hoja tena
 
Ukawa akikisheni mtatafuta mtu wa kumkaba pole pole,yeye kila siku yuko kwenye tv,na akiwa kwenye tv kazi yake ni kumchafua lowasa tu,msikubali,mtafutieni dogo mmoja kutoka bavicha ama bawacha mwenye kichwa kizuri amkabe huyu mpotoshaji mapema na apambane naye
Huyu mtu ni mtakatifu wa kusema uongo na kusingizia wenzake ni wezi

kwa bavicha na bawacha za sasa hamna wa kupambana na Polepole, labda Slaaaa! teh teh teh.
 
Acheni ujinga jamani makamanda msiongee bila kujielewa. Hao wakina Chenge, Tibaijuka na wengineo ata deal nao Magufuli. Hoja ni yule anayekalia kiti cha urais tuu kwa sasa. Mbona sisi ukawa tunasema hoja ni kwanza kuingoa ccm, halafu tuta deal na Lowasa baada ya hapo. Dr Slaa haikubali hoja hii kwa sababu atapoupata urais tu Lowasa basi katiba itamlinda. Atakuwa siyo unayemjua. Sasa embu tuambizane tutashughulika naye vipi wakati yupo ikulu.ni ndoto tunazodanganywaaa! Wananchi tuzinduke.
Sisi wafuasi wa Dr Slaa hatumkubali Lowasa na group lake la wapiga dili kamwe hatutawapa kura. Ni kheri Magufuli aendelee kuongoza na kuwa rais kuliko kupeleka Lowasa, Sumaye, Makongozo Mahanga, Msindai na matapeli wengine.

Eti atadeal nao Magufuli wtf?!?! Hujui kuwa wanaweza kuwa mawaziri atadeal nao kiaje wakati ni wagombea na wanaweza kuwa sehemu ya serikali yake?? Tumia kichwa kufikir usifuge nywele tu
 
wamtoe wapi huyo mtu? hivi kwa akili yako kuna mtu wa kujibu hoja za polepole kutoka ukawa? tena ukawa yenyewe hii ya wapiga dili?

Msando juma lililopita alimkaba sana,karibu amtoe roho
 
Ukawa akikisheni mtatafuta mtu wa kumkaba pole pole,yeye kila siku yuko kwenye tv,na akiwa kwenye tv kazi yake ni kumchafua lowasa tu,msikubali,mtafutieni dogo mmoja kutoka bavicha ama bawacha mwenye kichwa kizuri amkabe huyu mpotoshaji mapema na apambane naye
Huyu mtu ni mtakatifu wa kusema uongo na kusingizia wenzake ni wezi

msingwa alishindwa .... sidhani bavicha kuna mtu anaweza simama na polepole
 
Ukawa akikisheni mtatafuta mtu wa kumkaba pole pole,yeye kila siku yuko kwenye tv,na akiwa kwenye tv kazi yake ni kumchafua lowasa tu,msikubali,mtafutieni dogo mmoja kutoka bavicha ama bawacha mwenye kichwa kizuri amkabe huyu mpotoshaji mapema na apambane naye
Huyu mtu ni mtakatifu wa kusema uongo na kusingizia wenzake ni wezi

Mimi Bavicha Moshi,Nimeshaomba shoo na polepole mpaka!
Naomba shoo na huyu mtu jamani!!!!!!!
0759841685
 
Bwana mdogo anajifanya anamjua Lowassa wakati pumba kamezeshwa na kina Warioba. Angepanda kabisa jukwaani.
 
CCM imekwama, yaani hata H.Polepole naye anatumiwa ili kuokoa Jahazi? Napendekeza Julius Mtatiro ndo awe anapambana na Polepole.

Lakini hata hivyo kuna shida kupambana na Polepole sababu nimtu mwenye akili finyu. Kwanini nasema Polepole ana akili finyu?
1. Anasema yeye anapigania katiba ya Warioba. Lakini
- CCM ndiyo walioipindua ile rasimu ya katiba
-Magufuli aliunga mkono tena kwa kusema kabisa bungeni wakati Lowassa alikaa kimya
- Mgombea mwenza wa Magufuli ndo alikuwa makamu mwenyeketi wa Samwel Sitta katika uharamia huo
-Rasimu ya Warioba haipo kwenye ilani ya CCM bali ipo kwenye ilani ya UKAWA.

2. Anasema Lowassa ni fisadi kisa Richmond. Lakini

- Richmond ni deal ya wazito
- Baada ya Lowassa kujiuzulu, serikali ya CCM imefisadi zaidi nchi kupitia ESCRO, pembe za ndovu, kupeleka twiga Qatar, madawa ya kulevya, mabehewa mabovu, kivuko kibovu, n.k

Sasa utaona kwamba ubongo wa H. Polepole upo at war with itself.
 
huyo polepole ni shujaa wa kula pesa za ccm. simba mwenda pole ndo mla nyama. aliye lala usimwamshe ukimwamsha .....
 
Back
Top Bottom