Ukawa hii ya kina kingwendu, au ukawa ipi!Polepole mganga njaa tu,Hana hadhi ya kupambanishwa na mtu yeyote kutoka ukawa.
ni kweli kabisa. ndo maana polepole anasaidia watanzania waelewe wala rushwa na watoa rushwa. nasikia kuna chama kimenunuliwa na tycoon kwa bil 10 na sasa bilionea huyo anataka ukuu wa kaya kabisa. lakini kwa kupitia kwa polepole watanzania wataelemishwa.Rushwa ni kitu kibaya sana!
Hii inaonyesha UKAWA ni kwa watu wa kada zote, sio kile chama cha akina RTZ1Ukawa hii ya kina kingwendu, au ukawa ipi!