😂😂😂😂😂ndio ushirikina gani huo gentleman?🐒
ndio bhana!
Naona Lissu umemtupa umejikita kwa Polepole😅Anaenda mdogo mdogo kuna silaha anabakisha
Hapa anaendelea kukuonyesha kuwa anajua V8 tee na analivirumisha kweli kweli,wewe wawezaaa?haka kajamaa bana dah!
eti unaijua V8 wewe?🤣
Tlatlah utajua hujui,utabaki kukimbia kivulichake hadi upoteze nyayo.
Kawa kama redio ya mbaoKuongea sana bila ya kuwa na substantial solution/way forward ni sawa na porojo tu.
Sasa yeye na Kijiwenongwa wana tofauti gani? Aongee anayoongea lakini tuone na impact ya maneno yake kwa hao madhalimu CCM. Kutokuwa na muendelezo wa hatua katika kuongea kwake kunamfanya aonekane kama bitter ex asietaka kuachika.
Taratibu vikao vyake vinakosa impact, amekuwa kama mchambuzi huru wa soka sasa.
Kuongea sana bila ya kuwa na substantial solution/way forward ni sawa na porojo tu.
Sasa yeye na Kijiwenongwa wana tofauti gani? Aongee anayoongea lakini tuone na impact ya maneno yake kwa hao madhalimu CCM. Kutokuwa na muendelezo wa hatua katika kuongea kwake kunamfanya aonekane kama bitter ex asietaka kuachika.
Taratibu vikao vyake vinakosa impact, amekuwa kama mchambuzi huru wa soka sasa.