Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,837
- 58,525
Daaah wewe juzi umegombana na watu jukwaa la afya kisa kumponda mwenzako mwenye kansa ya titiWanajua sina mchezo na MIHOGO.
Dah Mwl RCT..
Kuna miamba unaikuta ni minyenyekevu kumbe deep down ni.kiburi auMkuu pia unyenyekevu unaendana na ukimya ila pia ukimya una uhusiano wa damu na kiburi , kuna namna unyenyekevu una uhusiano wa kindugu na kiburi japo mama mmoja ila baba tofauti ๐๐
Ahahahaha yaan hii naiandalia video alafu na embed hizi sauti ahahahahahah hapo ndo tunakutana mtaalamu wa AI na wa multimediaDah Mwl RCT..
Mtaalam wa AI hebu niambie hapa umefanyaje kufanya Summery ya Hii kitu Dah Umenishngaza sana ๐คฃ๐คฃ
Hebu niambie bhna..
Maana wewe ndo mataalam wa Hizi technology sisi Tunashangaa tu nimependa Hii summary aisee
Ndo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara ๐คฃ๐คฃMkuu pia unyenyekevu unaendana na ukimya ila pia ukimya una uhusiano wa damu na kiburi , kuna namna unyenyekevu una uhusiano wa kindugu na kiburi japo mama mmoja ila baba tofauti ๐๐
Ila Mwl.RCT atuambie Kafanyaje hapo kupata Mahojiano hayo ya LiveAhahahaha yaan hii naiandalia video alafu na embed hizi sauti ahahahahahah hapo ndo tunakutana mtaalamu wa AI na wa multimedia
Aaaaah ๐ค๐๐๐๐ ndo mana nikasema unyenyekevu ni kuigiza etNdo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara ๐คฃ๐คฃ
Maana Yake Usipokuwa Makini utashindwa Kutofautisha kati ya Unyenyekevu na Ukimya..๐คฃ๐คฃ
Haya mambo yako.Tricky sana
๐คฃ๐คฃ๐คฃ akuuuhh!Daaah wewe juzi umegombana na watu jukwaa la afya kisa kumponda mwenzako mwenye kansa ya titi
Weee watakuja kukupiga alafu ukome...๐คฃ๐คฃ๐คฃ akuuuhh!
Kabisa mkuu, Halafu pia unyenyekevu ni silaha kuu ya mtu mnafki๐Ndo maana Kwenye post Namba 2 Nilisema Hata Mpumbavu akinyenyekea na Kunyamaza Huonekana ana Busara ๐คฃ๐คฃ
Maana Yake Usipokuwa Makini utashindwa Kutofautisha kati ya Unyenyekevu na Ukimya..๐คฃ๐คฃ
Haya mambo yako.Tricky sana
Mimi nawazaga hogo na hela.Weee watakuja kukupiga alafu ukome...
Mbona bichwa hana mambo kama yako ya kuponda wenzako..
Mwenzak anawazaga hogo tuu
Kwahiyo kaka wee upo.hapa kusema mimi ni mnafiki ๐๐๐๐K
Kabisa mkuu, Halafu pia unyenyekevu ni silaha kuu ya mtu mnafki๐
Una akili fupi sana..Mimi nawazaga hogo na hela.
Hapana kaka sijasema ni wewe mkuu, labda umejaa tu kwenye mfumo๐๐๐๐Kwahiyo kaka wee upo.hapa kusema mimi ni mnafiki ๐๐๐๐
Sasa napata jibu kwanini jukwaa la dini hawakutaki
Afuu nimekumissUna akili fupi sana..
Utafika umechoka sana..
Ushawahi kupewa ruhusa na mke wako ujambe?Hapana kaka sijasema ni wewe mkuu, labda umejaa tu kwenye mfumo๐๐๐๐
Kuna somo naomba uje unifundishe ukipata nafasi kuhusu Ego kuna mahali nliona umeielezea, nataka kujua mimi kinachonisumbua ni ego au ni nini, ukipata nafasi naomba unicheki ahsante.Ndo Huo ndo Utajiri mkubwa sana..
Sisi Kipindi tuko vijana Tukikuwa tukifundishwa Kuwa Raha ya Dunia ina mambo matatu!
Ya kwanza ni Afya
Ya Pili Uhai
Ya tatu Bahati ya Kupendwa na Watu..
Na huo Ndo utajiri mkubwa Duniani
Ok sawaKuna somo naomba uje unifundishe ukipata nafasi kuhusu Ego kuna mahali nliona umeielezea, nataka kujua mimi kinachonisumbua ni ego au ni nini, ukipata nafasi naomba unicheki ahsante.