Human Rights' Press release on Dr Ulimboka

Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Ikibainika kuwa si state agents, binafsi nitasikitika sana, maana maneno ya Mnyika yatakuwa yametimia kuwa hii serikali ni dhaifu kwa kuzidiwa kete za kumlinda Dr. Ulimboka ambaye ni adui yao na wao wanajua kuwa akipatwa na tatizo lolote wao ndio wanaowajibika. Wakiwa wao walau itaonyesha kuwa nguvu za Mungu zimemlinda mwanaukombozi huyu shupavu. Fikiria mkuu
 
Ujinga mtupu, sasa hapa kaongea nini? I thought she is calling for a mass movement against this barbaric deeds by the government! Yeye anatoa kauli ya kulaani? Tena anailaani serikali ya viziwi hii isiyo na hata tone la aibu? Huyu Bisimba naye anazeeka vibaya. Amenichefua tu hapa, sijaona la maana!

Hivi unaweza kusimama mbele za watu na kuanza kulaani matendo ya kichaa? Si utaonekana na wewe ni kichaa tu? Kama kichaa analeta kero mtaani kwenu chukueni hatua za ama kuchangishana hela mmpeleke milembe au mmhamishe mtaani kwenu.

Sasa Bisimba anapolaani vitendo vya serikali ya vichaa hii si anaonekana yeye ndiyo kichaa? Imeshalaaniwa na wangapi na kwa mangapi na hakuna chochote ilichorekebisha zaidi ya ubabaishaji usiokoma? To hell with vyama vya wanaharakati visivyo na meno hivi!

Ningekuwa mimi saa hizi ningekuwa naitisha countrywide demonstration against this brutal act bila kujali ni nani amefanya hilo. Ni kazi ya serikali kulinda usalama wa watu wake na kama imeshindwa iachie ngazi. Period! Sasa analeta longolongo, ashakuwa mwanasiasa?
This is for the sake of records my brother, condemnation intends to alert the international community to know what is taking place in TZ.!!
 
Ikibainika kuwa si state agents, binafsi nitasikitika sana, maana maneno ya Mnyika yatakuwa yametimia kuwa hii serikali ni dhaifu kwa kuzidiwa kete za kumlinda Dr. Ulimboka ambaye ni adui yao na wao wanajua kuwa akipatwa na tatizo lolote wao ndio wanaowajibika. Wakiwa wao walau itaonyesha kuwa nguvu za Mungu zimemlinda mwanaukombozi huyu shupavu. Fikiria mkuu

Sasa mkuu ulitaka serikali wampe ving'ora na bodyguards?
 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Kama ni shamba kwanini iwe kipindi hiki cha mgomo wa madaktari?.ccm wenzio wamesitisha uamuzi wao waliotegemea kuutoa leo bungeni,wameogopa reaction ya umma.Any way, hata waliofanya kitendo hicho nao wanaweza kuchangia uzi huu ili ku-fake the all issue.
 
Ujinga mtupu, sasa hapa kaongea nini? I thought she is calling for a mass movement against this barbaric deeds by the government! Yeye anatoa kauli ya kulaani? Tena anailaani serikali ya viziwi hii isiyo na hata tone la aibu? Huyu Bisimba naye anazeeka vibaya. Amenichefua tu hapa, sijaona la maana!

Hivi unaweza kusimama mbele za watu na kuanza kulaani matendo ya kichaa? Si utaonekana na wewe ni kichaa tu? Kama kichaa analeta kero mtaani kwenu chukueni hatua za ama kuchangishana hela mmpeleke milembe au mmhamishe mtaani kwenu.

Sasa Bisimba anapolaani vitendo vya serikali ya vichaa hii si anaonekana yeye ndiyo kichaa? Imeshalaaniwa na wangapi na kwa mangapi na hakuna chochote ilichorekebisha zaidi ya ubabaishaji usiokoma? To hell with vyama vya wanaharakati visivyo na meno hivi!

Ningekuwa mimi saa hizi ningekuwa naitisha countrywide demonstration against this brutal act bila kujali ni nani amefanya hilo. Ni kazi ya serikali kulinda usalama wa watu wake na kama imeshindwa iachie ngazi. Period! Sasa analeta longolongo, ashakuwa mwanasiasa?

wewe ni mpum$#6&* juzijuz ulikuj kweny maandamano?
 
acha ujinga wewe ..haki za binadamu unazijua wewe..mlikuwa wapi wakati ndugu zetu wanakufa kutokana na mgomo wa madaktari???leo ndo mnazijua haki za binadamu??... Muungane na nani??kusanyeni familia zenu ili muungane muundamane.. Tumewachoka ninyi na hao madaktari wenu.. Huyo olimboka ndo kaona kifo kikoje... Waauaji wakubw aninyi dr's mnaeka ela mbele .madai ya msingi yametkelezwa lakini bado tu na nia yenu ya kisiasa.

Madai ya msingi yapi yaliyotekelezwa na serikali? Si uwapeleke hao ndugu zako kwenye private Hospitals sasa wasife, unamlalamikia nani?
 
Andikeni hilo tangazo kwa kiswahili wajameni hata wengine ambao hatukupata waalimu wa kiingereza tujue mnachosema
 
Hawa wachumia matumbo wa Nothing Going On (NGO) wapuuzi kabisa, badala ya kusimama na wananchi wanaokufa kila siku kwa kukosa huduma wao wanasimama na huyo msaliti Dr Ulimboka. Inatia kinyaa mama mzima kugeuka kibaraka wa wanasiasa wa CDM.
 
Ingekuwa vema kama hawa wanaharakati wangetoa hii taarifa kwa lugha zote mbili: Kiswahili na Kiingereza.

Haswaaaa!!,maana mimi nineyaona maandishi tu Ila tafasiri ndio imenipiga chenga kidogo.
 
Mtoto amedhalilishwa na majirani wameona, ila familia yenyewe imeamua kufanya uchunguzi humohumo ndani ya nyumba, ukizingatia kuwa wanafamilia wamekula kiapo kutokutoa siri za ndani nje, wanapochunguza wakigundua mmoja wa mtoto wako ndiye aliyehusika kumdahlilisha mtoto mwenzake, wewe kama baba utataka majirani wajue, hata kama unachukua hatua za kumuadhibu? na majirani wako huko mtaani wanasubiri kwa hamu wajue aliyemdhalilisha huyo mtoto na sababu za kumdhalilisha. Tusubiri matokeo. nakutakia afya njema Dr. Ulimboka.
 
Hawa wachumia matumbo wa Nothing Going On (NGO) wapuuzi kabisa, badala ya kusimama na wananchi wanaokufa kila siku kwa kukosa huduma wao wanasimama na huyo msaliti Dr Ulimboka. Inatia kinyaa mama mzima kugeuka kibaraka wa wanasiasa wa CDM.
Umepost sana kwenye server ya JF sasa ni wakati wa kuchangia tokea umejiunga 20-june- 2011 hujatoa hata cent hapa wewe gamba
 
Ulimboka.jpg

Well done LHRC and THRD Coalition; but one request; kindly translate this press release into Swahili for a wider public sensitisation on this serious matter.
 
Hawa wachumia matumbo wa Nothing Going On (NGO) wapuuzi kabisa, badala ya kusimama na wananchi wanaokufa kila siku kwa kukosa huduma wao wanasimama na huyo msaliti Dr Ulimboka. Inatia kinyaa mama mzima kugeuka kibaraka wa wanasiasa wa CDM.

Join Date : 20th June 2011
Posts : 531
Rep Power : 480
Likes Received :111
Likes Given: 44

Changia changia umeshazeekea hapa
 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

you sound more Pathetic! bora hata usingechangia kumbe we ni z.oba hivyo!!!! Ugonvi wa shamba!!!! kweli ujinga mzigo
 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Haswa hata mie nimeshtuka kidogo nilipofika hapo, but may be wanao ushahidi wa kutosha ndo mana wamekuwa jasiri!.

Hivi Tamko la ku-condemn ukosefu wa huduma kwa wagonjwa wetu ili kuiwajibisha serikali lilitoka lini?
 
Back
Top Bottom