Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Kama ni shamba kwanini iwe kipindi hiki cha mgomo wa madaktari?.ccm wenzio wamesitisha uamuzi wao waliotegemea kuutoa leo bungeni,wameogopa reaction ya umma.Any way, hata waliofanya kitendo hicho nao wanaweza kuchangia uzi huu ili ku-fake the all issue.
Pengine lengo ni ku divert attention.
Hata kama wewe mtu amekuudhi hujamwambia, halafu huyo huyo mtu akawa amegombana na mtu mwengine akachukua RB polisi unaweza kuitumia hiyo nafasi kumsulubu na kesi isije kwako kwakuwa wanajua adui wa simba ni Yanga. Msimbazi kukiwaka moto makao makuu ya Simba yakiungua maandamano yote Jangwani hata kama wamechoma Azam FC.