Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
NIMEAMINI WANAHARAKATI WANATUMWA
this press release is rubbishhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! hawana akili hawa wanaharakati. wakiambiwa teteeni ndoa ya jinsia moja wanatetea! naichana hii ripoti.. shaa shaa shaaaaaaaaa
Kwani ni nani Tanzania hatumiwi? Kama serikali inategemea zaidi ya nusu ya bajeti yake kutoka kwa wafadhili maana yake nini? sio kwamba Tanzania nzima tunatumiwa (kuanzia serikali mpaka wananchi wenyewe wanaotegemea bajeti hiyo). Ivi kweli serikali inaweza kunyanyua mdomo mbele ya mfadhili anayewapa zaidi ya nusu ya mahitaji yao ili waishi? Umeona wapi mtu anakuja nyumbani kwako anakupa fedha zaidi ya nusu yaku-kuhudumia wewe na familia yako bila demand zozote? Nafikiri inabidi tujiangalie sana kwenye hizi kebehi tunazotoa; ukitazama sana tunaji-kebehi wenyewe bila kujua. Hao hao wafadhili mnaowadhihaki wakikatisha hilo fungu la bajeti utaona pressure zitakavyopanda.