Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Kwa hiyo Unamaanisha CCM ndo wamempiga kwa kuwa kwao ni msaliti au? Sijaelewa CDM wamefikaje hapa kwenye mgomo wa madaktari
Ningependa iwe hivyo na nitasikitika kama itakuwa tofauti. CDM inaingia kwa kuwa waliwahi kutamka hadharani nchi haitatawalika. Na leo wakati wa maswali ya waziri mkuu bungeni Mh Martha Mlata alipoeleza kuna kikundi kipo nyuma ya mgomo viongozi wa CDM wakaanza kujishuku.