Human Rights' Press release on Dr Ulimboka

Shida ya Hellen ni mapenzi ya kisiasa na chama fulani hili tangazo lipo biased. Mfano unapotuhumu kuwa hao waliofanya ni allegedly state agents anazo taarifa na vithibitisho kuwa kweli ni wao? Vile vile unaposema wao state agents haoni kama anaharibu uchunguzi wa kipolisi? Vile vile Legal and Human Rights Centre inahusiana na nini na kuboreshwa na sekta ya afya? Mbona hajahoji mabilioni serikali inalipa makanisa kwa kutumia MOU na hospitali na bado huduma ni gharama za juu? Mbona hajahoji babu wa Samunge na dawa yake ya kitapeli ambayo imeua wengi kudai uchunguzi wa kina?

Kupigwa kwa Dr Ulimboka kuna jambo limefichika na time will tell. Ila waliofanya hicho kitendo wamesahau kuwa Tanzania ya sasa si ya zamani watu wengi waelewa sana na hawakurupuki kwa jazba na kudanganywa. I will not be amazed watakapokuja kukufahamika wahusika wengi wenu hapa jamvini mtakimbia kwa aibu na haya kuwa mlichotaka kutaka kupindua serikali ya JK hakijafanikiwa. Hadanganywi mtu hapa!!!!!
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu. Kwa upande mmoja ni sawa walivyomfanyia coz wao kupitia migomo yao wanasabibisha watu wanakufa kwa kutokupata matibabu!!! Acha naye akipate cha moto. However kibinadamu pia hakutendewa haki.
 
Mdondoaji,

Ahsante kwa kutuonesha mwanga.

Mimi nashindwa kuamini kama Dr ulimboka alichukuliwa na watu asiowajua.

Kwa mazingira aliyokuwepo Ulimboka huwezi kumchukua mtu kwa kumburuta kwa nguvu halafu watu wasione au wasichukue hatua haka kama una silaha kali namna gani itafahamika.

Hii ni basic intelligency , hao waliokuwa na Dr Ulimboka waeleze ukweli walikuwa wanazungumza na kina nani? na walikuwa wanajadili maswala gani? Je ni maswala yanayohusu chama cha madaktari? Mgomo wa madaktari? Na hao wengine waliripoti swala Polisi immediatelly? na je wakiona hao wahusika wanawakumbuka sura zao? Je Walishawahi kufanya kikao kingine kama hiki na hao wahusika kabla?

Maswali ni mengi,
 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Mijitu mingine bwana!

Hivi wewe kwa akili yako unategemea hawa waliomteka Dr.Ulimboka ni watu waliotumwa na ndugu zake wanaogombea shamba kweli???Mimi siyo mwanasheria lakini hata Mahakamani kuna kitu wanaita,''circumstancial evidences'' au ushahidi wa kimazingira. Huo tu unatosha kumtia mtu hatiani. Sasa hebu tuangalia mazingira ya kutekwa kwa Dr. Ulimboka: Kwamba alipigiwa simu na mtu wa serikali(siyo ndugu yake,jamaa au rafiki) kwamba wakutane Leaders Club.Wakti wakiongea wakaja wale jamaa(agents) wakiwa na silaha(not majambazi) yumkini ni plain cloth policemen au Usalama wa Taifa na wakadai wanamtaka Dr. ULIMBOKA TU. Kilichofuatia hapo tunakielewa mpaka kuja kuokotwa kwa Dr. Ulimboka toka msitu wa Mabwepande.

Lakini pia wakti wa harakati za kumfikisha Dr. Ulimboka pale MOI baadaye walimbaini askari mmoja akiwa CHOONI AKIWASILIANA NA WENZAKE SOMEWHERE KWA RADIO CALL AKIWAELEZA KUWA JAMAA(DR.ULIMBOKA) HAJAFA BADO ANAPUMUA!!!Hapa haihitaji hata akili ya kwenda kusomea sheria kila kitu kiko wazi. Kama ni askari Polisi uko kwenye kutimiza wajibu wako KWANINI UKAONGELEE CHOONI??Ni dhahiri hawa walikuwa Government AGENTS WALIOKUWA WAMEPEWA MAELEKEZO MAALUMU YA KWENDA KUMKAMATA NA KUMWUA HUYU DOC ILI KUMNYAMAZISHA KWA KIFO!!!Huo ni ukweli ambao kila mtu mwenye akili timamu atakubaliana nao.

Mimi kwa mawazo yangu ni kwamba tunataka haya 3 yafuatayo yafanyiwe kazi kwa haraka sana:
  1. Huyu kigogo wa Serikali aliyemwita Dr. Ulimboka wakutane Leaders Club ni nani na awe wa kwanza kukamatwa ili aisadie polisi.Huyu atakuwa anajua mchongo wote.
  2. Yule askari alyekuwa anawasiliana na wenzake kuwajulisha kuwa Dr. Ulimboka hajafa naye akamatwa kama yule kigogo.
  3. Kuundwe tume huru itakayohusisha pande zote mbili MADAKTARI,SERIKALI(POLISI)na KAMATI YA BUNGE YA HAKI ZA JAMII ili kufanya uchunguzi wa kina kabisa kuhusu sakata hili. Kama POLISI wataachwa peke yao washughulikie hili tatizo basi tusitarajie matokeo mazuri! Maana kama kweli kuna mkono wa serikali LAZIMA WATACHAKACHUA TU!We really know them.

Wasalaam.
 
Afisa waliekuwa nae alijitambulisha anatoka ikulu, na ndie aliyewaita hao watekaji kuja kumtocha Dr Ulimboka, unabisha nini kama hawa hawakuwa state agents. Watu kama nyinyi Maundumula siku zenu zinahesabika, haya maovu mnayowafanyia wenzenu yana mwisho, muanze kutubu la sivyo mtalia, mtateswa zaidi ya hivyo mlivyomtesa Uli.
Unamaana nikienda sehemu kufanya uhalifu kisha nikajitambulisha kuwa nimetoka JF basi utaamini kirahisi?? Funguka angalia mambo kwa upana wake kama unataka kufikiri kwa ukweli na haki usianzie kwenye hitimisho mkuu
 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Hivi mzinga wanauza SMG ? KAMA SIO...Kwa kuwa imesemwa SMG ilitumika katika utekahji,kitendo cha silaha zinazomilikiwa na serikali kutumika kwenye utekaji,moja kwa moja pasipo kumung'unya maneno'Serikali inahusika' moja kwa moja au kupitia watumishi wake...Usilete habari ya oooh hata majambazi wanazo,majambazi wa aina hiyo sio hao,majambazi wenye SMG wanatafuta fedha na si kujeruhi madaktari kwa kuongoza mgomo
 
Au ndio maana hawakufyatua risasi si unajua risasi ya serikali ikitumika lazima iwe ina maelezo ya kutumika kwa tukio lipi na wapi. Hivyo wakatumia bunduki kwa ajili ya kutishia huku shughuli nzima ikiwa ni kupigwa manually.
 
Wa TZ wabinafsi na wanafiki.
Leo kwa Dr kesho yaweza kuwa kwako.

Most likely kwa kingereza changu cha mchina si kwamba wamewashutumu directly hao state agents kwa maana nyingine ni huenda ni state agents ndio wahusika. Hapo walioandika wameangalia mazingira mazima ya tukio kuanzia anapoigiwa simu mpaka walipompata Dr Ulimboka hivyo Maundumula usihofu kwa hili.
 
Ili hawa LHRC na THRD-c wawe impartial inabidi watoe press release nyingine kuwalaumu madaktari kwa kugoma wakati kwa asili ya kazi yao hawaruhusiwi kugoma. Ni watu wangapi wamekufa kwa kukosa huduma yao tangu waanze migomo ???
 
acha ujinga wewe ..haki za binadamu unazijua wewe..mlikuwa wapi wakati ndugu zetu wanakufa kutokana na mgomo wa madaktari???leo ndo mnazijua haki za binadamu??... Muungane na nani??kusanyeni familia zenu ili muungane muundamane.. Tumewachoka ninyi na hao madaktari wenu.. Huyo olimboka ndo kaona kifo kikoje... Waauaji wakubw aninyi dr's mnaeka ela mbele .madai ya msingi yametkelezwa lakini bado tu na nia yenu ya kisiasa.

Nani kakwambia yametekelezwa na yaliyotekelezwa ni kwa kiasi gani?! Kwani mgomo Wa madaktari chanzo ni nini kama sio hao kenge wenzio wenye mabilioni kwenye akaunti za Uswiss? ****!
 
Hawa wachumia matumbo wa Nothing Going On (NGO) wapuuzi kabisa, badala ya kusimama na wananchi wanaokufa kila siku kwa kukosa huduma wao wanasimama na huyo msaliti Dr Ulimboka. Inatia kinyaa mama mzima kugeuka kibaraka wa wanasiasa wa CDM.

Wajinga wote hufikiri mwisho Wa pua zao! Tafuta kiini cha tatizo!
 
Analyzing Decision Making
A decision is a judgment or choice between two or more alternatives and arises in an infinite numbers of problems to the implementation of a course of action. Managers of a people, by definition, must be decision makers.
1. Examine every alternative closely before making decision.
2. If you found that previous decisions are still workable make use of them.
3. Make long-term decisions with the short term in mind.
4. Change decisions that are no longer appropriate.
5. Consider the implication of each decision-they can be huge.
6. Try to foresee and prepare for any changes in a situation.
7. Always ask what can go wrong when you are making a decision.
8. Always consider all the possible outcomes when making decision.
9. Always Try to balance an intuitive hunch with sound logical analysis
10. Asses your decision Making abilities and strive to improve them.

• Who makes decisions?
A decision is a choice between a variety of alternatives, and a decision Maker is whoever makes such choice.
A decision can be made instantly but more often involves the decision maker in a process of identification, analysis, assessment, choice, and planning. To arrive at a decision Managers must define the purpose of the action, list options available, choose between the options and then turn that choice into action. Decisions and the process of decision making are fundamental to all management processes – just as they are everyday life.

Identifying Decision Making Style
1. Assess your decision Making abilities and strive to improve them
2. Always improve your intuitive hunch with sound logical analysis


 
Wamekosea hapo kusema "Most likely alleged to be state agents" wangeacha blank kama hapo mwanzo waliposema "Unknown group of individuals" , kwa kutumia maneno haya inaonesha wao wanakuwa driven na emotions zaidi kuliko weledi! Pathetic!

Je ikibainika huko mbele kwamba wana ugomvi wa kugombea shamba la urithi Dr Ulimboka na ndugu zake?

Trust me! Kuna mengi yanajulikana na LHRC na watu wakaribu wa Ulimboka ambayo wameamua kutoku-disclose kwasasa. Kama utakumbuka MMKJ pia alisema kwenye clip yake jana "part two ya mahojiano yake na Ulimboka" hawezi kuizungumzia; anawaachia polisi wafanye kazi yao. In short, Polisi wanasubiriwa waje na matokeo ya upelelezi wao; naamini baada ya hapo mpunga ndio utamwagwa kwenye kuku wengi. Nakumbuka kwenye mahojiano ya Dr. Ulimboka alisema; (walifikiri nimeshakufa so wakawa wanazungumza). Sasa yale mazungumzo ya wale watu kama Dr. Ulimboka aliyasikia then .... Siamini LHRC wamekurupuka kuweka hiyo statement; there is more to come. It is just a matter of time statement yao itaeleweka.
 
Ili hawa LHRC na THRD-c wawe impartial inabidi watoe press release nyingine kuwalaumu madaktari kwa kugoma wakati kwa asili ya kazi yao hawaruhusiwi kugoma. Ni watu wangapi wamekufa kwa kukosa huduma yao tangu waanze migomo ???

Labda badala ya kulaumu madaktari kugoma, tujiulize kwanini wanagoma, na je madai yao ni haki au si haki? Kufa watu wanakufa kwakukosa huduma kila siku. Kuanzia wamama wajawazito, watoto, wanaume na wanawake; sema tu haiwekwi kwenye news maana imeshakuwa mazoea.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu. Kwa upande mmoja ni sawa walivyomfanyia coz wao kupitia migomo yao wanasabibisha watu wanakufa kwa kutokupata matibabu!!! Acha naye akipate cha moto. However kibinadamu pia hakutendewa haki.

Je serikali inayosababisha vifo vya wananchi wake kwakukosa huduma muhimu kila siku (including afya) nayo ifanyweje?

 
Analyzing Decision Making
A decision is a judgment or choice between two or more alternatives and arises in an infinite numbers of problems to the implementation of a course of action. Managers of a people, by definition, must be decision makers.
1. Examine every alternative closely before making decision.
2. If you found that previous decisions are still workable make use of them.
3. Make long-term decisions with the short term in mind.
4. Change decisions that are no longer appropriate.
5. Consider the implication of each decision-they can be huge.
6. Try to foresee and prepare for any changes in a situation.
7. Always ask what can go wrong when you are making a decision.
8. Always consider all the possible outcomes when making decision.
9. Always Try to balance an intuitive hunch with sound logical analysis
10. Asses your decision Making abilities and strive to improve them.

• Who makes decisions?
A decision is a choice between a variety of alternatives, and a decision Maker is whoever makes such choice.
A decision can be made instantly but more often involves the decision maker in a process of identification, analysis, assessment, choice, and planning. To arrive at a decision Managers must define the purpose of the action, list options available, choose between the options and then turn that choice into action. Decisions and the process of decision making are fundamental to all management processes – just as they are everyday life.

Identifying Decision Making Style
1. Assess your decision Making abilities and strive to improve them
2. Always improve your intuitive hunch with sound logical analysis


Mzee kuna vacancy ya ualimu hapa kama uko tayari, kwa wewe huna haja ya interview.
 
Back
Top Bottom