Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Human homo ni sehemu ya umungu(god,lyrans)wasanifu wa muundo huo.
ndivyo ilivyo waumbaji waliumba human homo kwa mifano yaki,maumbo,ufahamu,n.k kwa moja ya sehemu walizonazo wao,baasi human homo pia ni sehemu hiyo na kila kiumbe kimoja kina nafasi ya uungu kama walivyo wao,..
Mitihani mikuu ni life code & patern,kuvimudu hivyo kifikra,kiutendaji wa kimawazo na nyenzo makini za viungo tulivyonavyo...
vizuizi vikuu ni imani ya kujengewa,akili za kujengewa(ufahamu),ni ngumu kujitoa kulingana na ufungwa wa kimawazo tuliokwisha fungiwa nao ni rahisi kujitoa kama mind yako utaiweka huru (FREE WILL).. .
human homo,ataumba atafanya vyote vilivyofanywa na nafasi ya uungu,uungo ni pin code ya waliotuumba hata sisi ni miungu tutaumba pia kwani walioumba race hii waliumbwa,kwa sisi tunaozaliana itafika hatua nasi tutaumba,hivi ndivyo tulivyo katika bustani(dunia)... .
GOD IS CODER WITH YOU
ndivyo ilivyo waumbaji waliumba human homo kwa mifano yaki,maumbo,ufahamu,n.k kwa moja ya sehemu walizonazo wao,baasi human homo pia ni sehemu hiyo na kila kiumbe kimoja kina nafasi ya uungu kama walivyo wao,..
Mitihani mikuu ni life code & patern,kuvimudu hivyo kifikra,kiutendaji wa kimawazo na nyenzo makini za viungo tulivyonavyo...
vizuizi vikuu ni imani ya kujengewa,akili za kujengewa(ufahamu),ni ngumu kujitoa kulingana na ufungwa wa kimawazo tuliokwisha fungiwa nao ni rahisi kujitoa kama mind yako utaiweka huru (FREE WILL).. .
human homo,ataumba atafanya vyote vilivyofanywa na nafasi ya uungu,uungo ni pin code ya waliotuumba hata sisi ni miungu tutaumba pia kwani walioumba race hii waliumbwa,kwa sisi tunaozaliana itafika hatua nasi tutaumba,hivi ndivyo tulivyo katika bustani(dunia)... .
GOD IS CODER WITH YOU