Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

My god we are going to die all of us kwa hali hii dunia imekwisha iliyobaki tusubiri kiama tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Subiri upate utamu wa mzee wa vijisenti akiachiwa huru kwa kutokuwa na kosa kuwaua wale mabinti wawili..........&.. Mramba, Yona, Idrisa, hata na Mkapa ikibidi atafunguliwa mashtaka na atashinda tu kwani penye ufisadi kesi ni ushahidi kuwa haki ilitendeka lakini inakuwa bosheni, ikumbukwe kuwa Zombe kawapiga tafu baadhi ya wakuuu walioko juu hivi sasa, ikumbukwe zimwi likujualo halikuli likakwisha jamani, ila kuna siku!
 
mahakama inafanya kazi kutokana na ushahidi unaoletwa mbele yake na wala si kwa kusoma magazeti na hisia!
 
Well, sheria imechukua mkondo wake, lakini where is the morality in this case? kweli Zombe anaweza kupita mitaani kweli akaangaliana na watu uso kwa uso? what does that tell of our Judicial system> kwa sababu kwa bahati mbaya watu wanaujua UKWELI na wanajua hapa kama kawaida mahakamani kuna SHERIA hakunaa HAKI.

Tuna tatizo kubwa kuliko tulivo/tunavofikiri
 
Zombe na wenzake wote waachiwa huru! Habari kuhusu kesi ya zombe zinasema kuwa watuhumiwa wote wa mauaji wameachiwa huru na mahakama kuu baada ya kuonekana hawana hatia. Watuhumiwa, hasa mtuhumiwa namba moja, Abdallah Zombe, bado wanaangalia jinsi ya kutoka mahakamani hapo kutokana na kuhofia usalama wao, kwani umati wa watu ni mkubwa ndani na nje ya mahakama hiyo!

globalpublisherstz.com/
 
BREKING NYUUUZZZ:zombe na wenzake waachiwa huru

Kitendawili kilichotegwa takriban miaka mitatu iliyopita na aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa jeshi la polisi,Mkoa wa dar es salaam (ACP) Abdallah Zombe na wenzake wanane wameachiwa huru sasa hivi katika mahakama kuu ya Tanzania.


source-Michuzi
Asante kwa Breaking news mkuu,hata hivyo kuna thread nyingine imeanza mapema juu ya hukumu hii ya akina Zombe,ni vema ungeliweka bandiko lako hili hapo badala ya kuanzisha lingine tena 'Breaking news'
 
Rashid Lema ndiye alikuwa na ushaidi wote wa kumtia Zombe hatiani,ndio maana walimuondoa haraka kabla ajachafua hali ya hewa........Hii ndio Bongo bwana,kama hamuamini Zombe yuko huru mtajiju!
 
hakuna haja ya kuwatafuta wauaji kwani tayari inaonekana wale watu walikuwa majambazi na ndo wamesha hukumiwa na zombe kwenda kaburini,na yeye amehukumiwa kuishi milele katika nchi ya baba yake hii,macho yetu lakini siku ipo!na wale ndugu wa wale majambazi waliohukumiwa na zombe inabidi wamlipe fidia kiumbe wa watu zombe
 
anaeona haki haijatendeka tutumie njia za DON CORLEONE[THE GODFATHER] kutafuta haki,sipati picha jamaa atavyoyageuzia kibao magazeti
yaliyomsakama akayafungulia kesi
 
Mwendesha mashtaka should do something otherwise ajiuzulu. maana yake hapa inaonyesha uwezo mdogo katika ofisi yake
Si kosa la mwendesha mashitaka.
Nimewahi kuandika awali kuwa Zombe na wenzake wote wataachiwa kwa sababu DPP aliamua kutuzuga. KIla mmoja anajua mauaji yalifanywa na mtu mmoja tu, na amekimbia. Huwezi kuwakamata watu wengine ukawashtaki kwa kosa la mauaji halafu ukutane na jaji mwenye akili awaone wana hatia. Zombe na wenzake walitakiwa washitakiwe kwa conspiracy, ndilo kosa ambalo wangetiwa nalo hatiani-si murder kwa sababu hakuna kati yao aliyeua
 
haya jamani ya ZOMBE ndio hivyo yuko uraiani... sasa huyu jirani CHILUBA ni vp??????????
 
Kwani tangu lini usha ona mawakili wa serikali tena ya TZ wanashinda high profile case. Kesi zote hizo mlishaambiwa na akina MKJJ kuwa ni mazingaombwe ila tatizo sisi wote ni akina Thomas hivyo hatutaki kuaamini mpaka tuone.
 
Rejeeni taarifa yangu kimesha tokea ambacho hamkutaraji wakuu jamaa anarudi uswazi kula raha kama kawa. Wabaya wake mtakiona sasa cha moto.
 
!na wale ndugu wa wale majambazi waliohukumiwa na zombe inabidi wamlipe fidia kiumbe wa watu zombe

Nadhani case ilikuwa Public Vs Zombe and Co: kwa hiyo ndugu hawahusiki, ila sisi walipa kodi tutatakiwa kumlipa Zombe & Co: Fidia kwa kumsingizia na kumdhalilisha, kuikosesha familia yake usingizi, kuwaweka rohoo juu juu
 
Back
Top Bottom