Zombe kaachiwa rasmi!
Case closed
Mhhh...ama kweli Tanzania ni nchi ya amani na utulivu....Daah
Kama hao saba kati ya tisa wameachiwa waliobaki ni Zombe na mwenzie Bageni hao kwishnei
Mmh,Mungu ibariki Tanzania...pia tu mshukuru Mungu huyu aliye mwachia Zombe huru!...Mungu ibariki Tanzania
Watanzania bana, sasa mnadhani wapi haki itapatikana?Natamani kuubwa uraia wa danganyika