Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
The judges said that. "Thus the issue of independent candidates is political and not legal "
But
Does this hold water?
Thomas
The basic Rights and Duties Enforcement Act section 13 (1)inasema:
(1) Subject to this section, in making decisions in any suit, if the High Court comes to the conclusion that the basic rights, freedoms and duties concerned have been unlawfully denied or that grounds exist for their protection by an order, it shall have power to make all such orders as shall be necessary and appropriate to secure the applicant the enjoyment of the basic rights, freedoms and duties conferred or imposed on him under the provisions of sections 12 to 29 of the Constitution.
Ibara ya 21 ya Katiba inasema:
(1) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 5, ya 39 na ya 67 ya Katiba hii na ya sheria za nchi kuhusiana na masharti ya kuchagua na kuchaguliwa, au kuteua na kuteuliwa kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
Ibara ya ya 20 (4) inamalizia:
(4) Bila ya kuathiri sheria za nchi zinazohusika ni marufuku kwa mtu yeyote kulazimishwa kujiunga na chama chochote au shirika lolote, au kwa chama chochote au cha siasa kukataliwa kusajiliwa kwa sababu tu ya itikadi au falsafa yake.
Jamani kuna siasa hapo? Je mahakama haina mamlaka kweli au ndo mahakama ya juu inaleta hadithi za pilato za kunawa mikono badala ya kuamua suala lililopo mbele yao?