Hukumu ya kutawadha

njia ya saada

JF-Expert Member
Sep 3, 2018
320
216
Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa:

a. Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu​

1. Kuswali​

Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni} [5: 6]

2. Kutufu Alkaba:​

Kwa kauli yake Mtume ﷺ kumwambia mwanamke aliye katika hedhi: (Usitufu mpaka utwahirike) [ Imepokewa na Bukhari.].

3. Kushika Msahafu:​

Kwa neno lake Mwenyezi Mungu U: {Hawaigusi isipokuwa wale waliotwahiriwa} [56: 79]
 
Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa:

a. Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu​

1. Kuswali

Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni} [5: 6]

2. Kutufu Alkaba:​

Kwa kauli yake Mtume ﷺ kumwambia mwanamke aliye katika hedhi: (Usitufu mpaka utwahirike) [ Imepokewa na Bukhari.].

3. Kushika Msahafu:​

Kwa neno lake Mwenyezi Mungu U: {Hawaigusi isipokuwa wale waliotwahiriwa} [56: 79]
Lugha ngumu hii, maelezo ya ziada yanahitajika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom