Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
utafiti wake na una uhusiano gani na ubunge?, huo usomi wake (Ujuvi wa utafiti) ungeweza leta maendeleo gani katika jimbo lake, nadhani angekuwa sawa tu na msomi CHENGE-mwanasheria aliyebobea na aliyetuingiza kwenye hii mikatavba tuliyonayo
wapo wengi mkuu, Mchumi JK, Mwanasheria Ngereja, Prof Kapuya nk