Hapa sumbawanga mjini hakuna waandishi wa habari kabisa na kama wapo basi wanaandika habari za kujitugia nazile wanazopewa na viongozi wa ssm kwa kutpewa posho na kubebwa kwenye magari ya chama. Hawana utamaduni wa kutafuta habari.Yapo matukio mengi ya vipongozi kukandamiza wananchi na kutowajibika vema lakini sijawahi kusikia wanafuatwa na kuhojiwa ili taarifa zifike kwa wananchi na watanzani wenzao wajue wenzao wa Rukwa wanashida zipi. Zaidi sasa hivi kuna sumbawanga tv ambayo Kisika anawachukua ccm na kuweka vipindi vya ovyo badala ya kukusanya wanancihi kueleza kero zao na kuwafikishia viongozi na nafikiri sababu ni u uvccm wa Juma Kisika.Kesi AESHY anaweza kutupwa nje hakimu akiwa fair!
Ni kweli kabisa mwandishi huyu wa habari anaitumia vibaya hii TV,matokeo yake haina mvuto kabisa,Mkurugenzi achukue hatua haraka.