AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Mkuu CDM walikukosea nini?
Punguza ghadhabu yako usije ukapigwa kofi na Mungu.
Kumbuka CDM wana Mungu, CCM wana Freemason
mkuuu chadema imeoza yani huwezi kuamini jinsi wakina mbowe wanvyotafuna ela zetu za m4% alafu zitto kajenga hotel pale dodoma na hizo pesa kapata wapi?