kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Tatizo si uhalali wa mgomo wa waalimu,bali tatizo ni juu ya KIINI cha mgomo huo,hata kama mahakama imesitisha mgomo huo kwa kuwa si halali CWT watakubaliana kusitisha mgomo kwa muda wajipe muda wa kuandaa mgomo mwingine HALALI kwa mujibu wa sheria na kuutekeleza tena kwakuwa dhamira ya kugoma inaishi ktk mioyo yao hadi hapo serikali itakapokubali kuketi ktk meza ya majadiliano ili kutibu tatizo ,kilichofanyika sasa ni kuahirisha tatizo la leo kwa kulihamishia kesho.panapofuka moshi ndugu zangu sharti uzime moto chini na DHAMIRA ya jambo fulani ina nguvu hata wakilazimishwa kurudi madarasani tutavuna mabua! GRANT
Kinachoiokoa serikali hii kila siku ni mahakama zake,na wameifanya mahakama kuwa km msuluhishi wa matatizo ya kada mbalimbali ambayo yanahitaji tathmini ya kina katika kuelewa chanzo chake,sasa kila siku wao wana buy time.