Hukumu itasomwa saa nane napiga jaramba nitakuwa nawajulisha live
Updates: Amesema wakati wa kupiga kura labour officer hakuwepo, pia mgomo hawajasema utaisha lini na hivyo mgomo ni batili warudi kazini. Hii ni mara nyingine mahakama zinapendelea serikali na inadhihirisha madai ya Lissu kuwa serikali inateua majaji dhaifu siku hizi ili wazitumie kukandamiza haki za raia
......................
UPDATE
........................
Updates: Amesema wakati wa kupiga kura labour officer hakuwepo, pia mgomo hawajasema utaisha lini na hivyo mgomo ni batili warudi kazini. Hii ni mara nyingine mahakama zinapendelea serikali na inadhihirisha madai ya Lissu kuwa serikali inateua majaji dhaifu siku hizi ili wazitumie kukandamiza haki za raia
......................
UPDATE
........................
Taarifa nilizozipata hivi punde zinasema mahakama imezuia mgomo wa walimu na kati ya sababu ni
1. Notisi ya saa 48 ilikiuka masharti, ilitakiwaitolewe katika siku za kazi
2. Suala la walimu na serikali bado lipo CMA, hivyo ni mapoemasana kuamua kugoma
Mahakama leo imetengua mgomo wa walimu uliokuwa ukiendelea nchi kwa madai kwamba mgomo siyo halali
mahakama pia imeiamuru CWT kuwalipa fidia wanafunzi walioathirika na mgomo wa walimu