Hukumu Kesi ya Mgomo wa Walimu: Mgomo ni batili

Hukumu ya walimu imekuwaje wadau? Mwenye news atujuze!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wadau tupeni updates.

Jamani bado tu. Huyo jaji kabatilisha tu.

Updates pls.

Maitario mbona unajishushia heshima JF, live yako imeishia wapi?

hukumu haijasomwa tu hadi sasa saa 15:24 za kibongo
wamesemaje? hata hivo sitarajii walimu washinde kwani serikali itaumbuka.

Ni saa 9 na dk 26. Kuna hukumu kweli?

mkuu hiyo hukumu ni ya masaa 6 nini? mbona hutupi updates

Jamani hiyo hukumu imepotea????mboa sa tisa naushee?

Time now is 3:32. Jaji kaingia mitini??

huyu jamaa mzushi alikua anataka aonekane nae kaanzisha hot thread

Maajabu na kweli..hukumu ya kesi kubwa kama hii haijasomwa mpaka saa hizi??

Huyu ndugu maitario bila shaka Simu yake ya Mchina imeishiwa Charge hivyo anashindwa kutuma updates. Mud huu mahakama wanafunga kazi.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa na marafiki zangu wa Kenya kibao waliokuwa wanafundisha hizi shule mnazoziita za Academy serikali yao ikabadilisha mfumo kama mliona bajeti yao ya 2012/2013 elimu ilipewa kipaumbele wote wameondoka na kurudi makwao baada ya kuona nyumbani kunalipa. Hapa kwetu tunasema hatuwezi kuboresha mishahara yao vyanzo vya mapatao TZ ni zaidi ya mara mia moja ya Kenya sasa kwanini tunadanganyana, Waalimu wanaweza kulipwa vizuri kuliko hata walioko kwenye SUs kama serikali ikiamua. Mwl ni everything brothers and sisters let us not deceived by our laders who doesnot know where to take us. God help us.
 
nipo kwenye daladala naelekea mahakama ya kazi ili nawajuze kinajoendelea, kuna fole ni ila nikifika tu naanza kuwajuza wanajamvi, vuteni subira natokea kimara ndo nimefika magomeni
 
Au ndio aina ya majaji aliwasema Lissu! -ameshindwa kuandaa/kuandika hukumu yake ndani ya wakati!?
 
LIVE mpka saa kumi na dk 4 bado kesi haijaisha? au \\
Jaji ameenda kugawa ng'ombe loliondo na JK
 
Samahani sana wadau simu yangu iliisha charge. Mgomo umetangazwa kuwa batili kwa sababu ambazo mahakama haijazieleza vizuri
 
There are currently 682 users browsing this thread. (160 members and 522 guests)

Kua muungwana kaka tunasubiri hii kitu
 
Samahani sana wadau simu yangu iliisha charge. Mgomo umetangazwa kuwa batili kwa sababu ambazo mahakama haijazieleza vizuri

pole sana kwa masaibu yaliyokukuta, hata hivyo hujafafanua kitu ni kama na wewe umeambiwa vile.
 
Amesema wakati wa kupiga kura labour officer hakuwepo, pia mgomo hawajasema utaisha lini na hivyo mgomo ni batili warudi kazini. Hii ni mara nyingine mahakama zinapendelea serikali na inadhihirisha madai ya Lissu kuwa serikali inateua majaji dhaifu siku hizi ili wazitumie kukandamiza haki za raia
 
Wana JF mnashangaza sana yaani wote mnaulizia mtu mmoja alete updates,,kufuatilia wenyewe mnaona nn? c inajulikana ni mahakama gani jijini Dar? Tupunguze uvivu! Jamaa alileta dondoo basi ifanyiwe kazi c kusubiri mtu mmoja
Tukienda wote mahakamani patatosha? hata akiwepo mmoja anatosha kutujuza humu jamvini. hatuwezi kwenda kila pahala sote.
 
Amesema wakati wa kupiga kura labour officer hakuwepo, pia mgomo hawajasema utaisha lini na hivyo mgomo ni batili warudi kazini. Hii ni mara nyingine mahakama zinapendelea serikali na inadhihirisha madai ya Lissu kuwa serikali inateua majaji dhaifu siku hizi ili wazitumie kukandamiza haki za raia

Nilitegemea hilo tangu jana
 
Back
Top Bottom