Bado. Au jaji kapigiwa simu nini< hahahaaaaaaaaaaaaaaaMkuu saa nane tayari vp..!!?
:ranger:
Isijekuwa ameshafanyiwa ya mwanahali,hawakawii kusema analeta habari za uchochezi!....14:20, bado tu? Hahahahaaa nadhani mleta uzi kala kona hapa!!!!!
jaji ameitwa ikulu tuvute subila akitoka ikulu atasoma hukumu