Andaa tu maandamano tutakuja.Nashangaa na kukwazika kwa kuacha huu upuuzi uendelee!!
Serikali ijaribu kuliona hili na kulifanyia kazi
...
Nilishangaa sana kuona hata VP ambaye ni mwanamke, Naibu Spika ambaye ni mwanamke walishindwa hata kutoa kauli kuhusu hili la mimba.
Again, as usual in Africa when we eat we don't talk!
Acha maneno ya kebehi kwa Serikali.Tumesoma shule za Serikali na hakuna sheria inayoruhusu mwanafunzi kusoma akiwa na mimba au baada ya kujifungua arudi shuleni alikokuwa anasoma!Mkuu hili swala kila mtu ana namna anavyoliona. Na kwa vile Mkuu wa Kaya keshatoa tamko..amehitimisha mjadala. Kama tungekuwa na bunge la maana (achana na hili ambalo ni useless na ndiyo mzee), we could have our efforts directed through the bunge. Kupitisha sheria (hata kama JPM angekataa kuipitisha), lakini atleast angejua kwamba people are not with him kwenye hili.
Nilishangaa sana kuona hata VP ambaye ni mwanamke, Naibu Spika ambaye ni mwanamke walishindwa hata kutoa kauli kuhusu hili la mimba.
Again, as usual in Africa when we eat we don't talk!
Hili ndo la msingi! hahahaTutaandaa maandamano.kuwakemea.usijali.
Hata mim nimehisi kuna watu wanamshambulia Pasco bila kusoma upepo na mazingira yaliyopoalwys mada zako huwa nazelewa hapa ninacheka kweli kweli!sidhan km wote watakuelewa! haaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhaahhahahahhhhhhhhaha! tunahitaji uandishi wa namna hii kpndi hiki kigumu cha mpito!
Wewe Kwani hizo sheria za kumkandamiza mtoto Wa kike haziwezi kubadilishwa?Acha ujinga wako na maneno ya kebehi kwa Serikali.Tumesoma shule za Serikali na hakuna sheria inayoruhusu mwanafunzi kusoma akiwa na mimba au baada ya kujifungua arudi shuleni alikokuwa anasoma!
Ila wengi wamepata mimba na kufukuzwa shule na baadaye wamesoma kwa njia zisizo rasmi.
Hapo sio Marekani ambako Watoto wanasoma na mimba na Hata baada ya kujifungua ataendelea na shule.
Mtoto wangu mwenyewe darasani kwao grade 11 wako wanafunzi 4 wajawazito na wanasoma kwasababu sheria zinawaruhusu humo USA.
Pasco hivi wewe ulisomea wapi uandishi wa habari?
Wewe ni mwandishi kweli? na Kama ni mwandishi mbona hujui lolote kuhusu taaluma ya habari? au utangazaji wa TV ni tofauti na uandishi mwingine?
kifupi wewe pasco ni mbumbumbu mkubwa Sana wa taaluma ya habari.
Ni wapi Rais kadhalilishwa ?kuchorwa katuni ndo kudhalilishwa? hapo ajabu iko wapi? katuni aliyochorwa imeenda sambamba na tukio, yaani kauli yake dhidi ya watoto wa kike kupewa mimba, na ktk hilo kila media ina mtazamo wake.
Wewe ulitaka media zote hadi za nje ziandike habari hiyo Kama gazeti la Uhuru? pasco umezidi kujipendekeza, hata Kama ni njaa hiyo yako imezidi bro...