Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya?

kama una ubongo mzito,! mi huwa namwelewa haraka sana kwakweli
It is not issue ya ubongo mzito. Kama hujawahi soma post zake huwezi kujua ana maanisha kuunga mkono serikali au anaipinga. anaandika kama kuegemea serikali kama huji utaamini hivyo.
 
Vere vere soon, The East African litapigwa ban kusambazwa Nchini. Huyu bwana hapendagi kabisa kusemwasemwa vibaya, let alone kuchorwa. Hata Kipanya naona siku hizi ameacha kabisa.

Hili la mimba za watoto wa shule "wanaobakwa" na kupata mimba mzee alibugi kidogo kulitolea kauli. Sheria inasema ukimtia mimba mwanafunzi hata kwa hiari yake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba "umembaka" na ni miaka 30 jela na kazi ngumu. Kwa nini na mhanga aadhibiwe?
 
Kwahiyo akidhalilishwa unataka tufanye nini? Yani unataka taifa limtetee mtu mmoja? Hakuna mtu mkubwa zaidi ya taifa.
Binti akipata mimba aendelee na masomo,kama uko kwenu hawajali elimu ya mwanamke ni kivyenu.
 
Mkuu jamaa ukimsoma juujuu unaweza usimwelewa ana uandishi wa kimakinikia,ukiangalia kwa nje unaona mchanga,lakini ukitia kwenye kinu cha kuchenjulia utakutana na zahabu,shaba na madini mengine.read between the lines



sure na weng hawamwelewi! yaan nahakika alikua akiandika yy mwenyewe anacheka tu lol!
 
Jamani hivi uzalendo ni nini? Kipindi raisi hajalisema hilo ,swala hili la kufuta NGOs halikuwepo,baada ya kiongozi mkuu kuona tatizo hili kila anayelisema positively kwa mujibu wa mtazamo wa taifa wa sasa ni mzalendo na anayelisema kwa mtazamo wa zamani wa taifa si mzalendo. Je uzalendo ni nini?

Nakumbuka kipindi cha nyuma,watu fulani walionyesha kuhitaji katiba mpya,lakini majibu yalikuwa:mnataka mpya ya nini mkiwa hata ya zamani hamuijui?

Kiongozi wa nchi alipotamka kufurahishwa na wazo la katiba mpya,waliokataa wakabadilika na kuonyesha wao ndio wenye shauku kuu na katiba mpya. Je sisi twaishi kwa matukio? Je Paskali,uzalendo ni nini?
 
Mkuu mimi nimemwelewa sana ndiyo maana nikamwambia amebadilika/amekuja kivingine, najua amemaanisha nini lakini swala la msingi ni kwamba kila kinachoandikwa nje ni kweli tupu.
Nadhani Mayala,anajaribu kuwianisha uhuru wa vyombo vya habari na ule wa kutoa maoni baina yetu na nchi za nje pamoja na zile za jirani pamoja na ukimya na uoga wa kukosoa ambao tunao kwa sasa.
 
Mkuu hili swala kila mtu ana namna anavyoliona. Na kwa vile Mkuu wa Kaya keshatoa tamko..amehitimisha mjadala. Kama tungekuwa na bunge la maana (achana na hili ambalo ni useless na ndiyo mzee), we could have our efforts directed through the bunge. Kupitisha sheria (hata kama JPM angekataa kuipitisha), lakini atleast angejua kwamba people are not with him kwenye hili.

Nilishangaa sana kuona hata VP ambaye ni mwanamke, Naibu Spika ambaye ni mwanamke walishindwa hata kutoa kauli kuhusu hili la mimba.

Again, as usual in Africa when we eat we don't talk!
Kwani kama VP ni mwanamke ndo hawezi kuwa anakubaliana na "hatusomeshi wazazi"?
ukiona yupo kimya maana yake anakubaliana na hilo....Pasco anaelea wajukuu amemwelewa VP..teh teh teh.
 
Pascal kwa maoni yangu, hizo media za nje acha ziendelee kufanya kazi nzuri ya kumkosoa rais wetu. Maana mfupa huo wa kumkosoa rais wetu umezishinda media za ndani. Nilitegemea media zote za ndani ndiyo ziwe msatari wa mbele kufany kazi hiyo lkn zote zimeufyata.
 
Back
Top Bottom