Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Ushamba au Ulimbukeni? hapo nyuma kuna watoto, unafikiri anawajengea picha gani kichwani kuhusu kilimo? Na kuna kitoto kimebebeshwa sabuni kwa umaridadi kweli kweli. Mnafiki sana huyu mzee ndio maana mwili wake hauna shukrani, hang'ai wala hashine
Hiyo picha ya Mizengo Pinda tunaiita Sharobaro Generation!