Omera, hivi Kuna Serikali iliyofilisika zaidi ya hii ya CCM YA MAGUFULI?
Magufuli amelifilisika kibusara,kiuongozi na Kiuchumi! Nitaeleza;
- Kama Amiri Jeshi Mkuu katoroka Ikulu za Dar na Dodoma kwenda kujificha Kijijini Chato...Hofu ya Corona!
- Kama Amiri Jeshi kashindwa kusikiliza Ushauri wa Wataalamu wa Afya na KUANZA kujifanya yet ndiyo Daktari wa KUJIFUKIZA.
- Badala ya kuhimiza Lockdown kaamua kuhamasisha Watu waingie Misikitini na Makanisani kuomba lakini badala ya Mungu kuondoa Covid-19 MAAMBUKIZI YAMEONGEZEKA!
- Mpaka sasa nchi yenye Watu 55 MILIONI inategemea kipimo 1 tu Cha Covid-19 nchi nzima!
- Mpaka sasa Wabunge 3(1-Waziri) wamefia Viunga vya Bunge na mwingine kapata maambukizi akiwa mjengoni!