Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,771
Inaonyesha hiki chama sasa kimefilisika kisiasa,jina naliweka kapuni maana wafuasi wake na wanachama wake wameshajua hilo na baadhi yao wanadai kimeshakufa. Na chama kinapofilisika kisiasa maana yake kina kwenda kufa na kujizika.
Chama cha kisiasa cha upinzani kinatakiwa kiwe na hoja makini na zenye mashiko pale kinapokuwa kinaikosoa Serikali.Kiweze kuikosoa kwa taarifa zilizojaa ukweli ili kiitie aibu serikali.
Dunia nzima kwa sasa ipo katika mtihani mgumu wa kupambana na janga la Covid-19. Lakini hiki chama na wafuasi wake,wanachama na viongozi wamekuwa hawana ushirikiano na serikali katika mapambano juu ya janga hili. Wafuasi na wanachama wanalitakia mabaya taifa lao eti kisa tu chama chao kinakufa na kimekimbiwa na wabunge na madiwani wengi.
kila mwananchi anahitaji kupata taarifa juu ya janga hili. Na serikali mara mwisho ilitoa taarifa na kwenye taarifa idadi ya vifo ilitangazwa kuwa ni 16.
Inashangaza kiongozi wa Chama hiki kilichofilisika kisiasa anadai kuwa takwimu hizi sio za kweli. Sasa kama kiongozi makini ambae ana uhakika na takwimu zilizo sahihi. Angekuja na takwimu ambazo ni sahihi alafu akawaumbua hawa serikali ambao anadai wanaficha takwimu sahihi.
Angekuja na ushahidi uliokamilika ili ukweli ujulikane. Sasa anachokifanya ni dhahiri kuwa labda yeye wafuasi wake na wanachama wake wanataka watu wafe kwa maelfu ili wafurahie.
Ukifilisika kisiasa isiwe sababu ya kuliombea mabaya taifa lako sio jambo jema kabisa.
Chama cha kisiasa cha upinzani kinatakiwa kiwe na hoja makini na zenye mashiko pale kinapokuwa kinaikosoa Serikali.Kiweze kuikosoa kwa taarifa zilizojaa ukweli ili kiitie aibu serikali.
Dunia nzima kwa sasa ipo katika mtihani mgumu wa kupambana na janga la Covid-19. Lakini hiki chama na wafuasi wake,wanachama na viongozi wamekuwa hawana ushirikiano na serikali katika mapambano juu ya janga hili. Wafuasi na wanachama wanalitakia mabaya taifa lao eti kisa tu chama chao kinakufa na kimekimbiwa na wabunge na madiwani wengi.
kila mwananchi anahitaji kupata taarifa juu ya janga hili. Na serikali mara mwisho ilitoa taarifa na kwenye taarifa idadi ya vifo ilitangazwa kuwa ni 16.
Inashangaza kiongozi wa Chama hiki kilichofilisika kisiasa anadai kuwa takwimu hizi sio za kweli. Sasa kama kiongozi makini ambae ana uhakika na takwimu zilizo sahihi. Angekuja na takwimu ambazo ni sahihi alafu akawaumbua hawa serikali ambao anadai wanaficha takwimu sahihi.
Angekuja na ushahidi uliokamilika ili ukweli ujulikane. Sasa anachokifanya ni dhahiri kuwa labda yeye wafuasi wake na wanachama wake wanataka watu wafe kwa maelfu ili wafurahie.
Ukifilisika kisiasa isiwe sababu ya kuliombea mabaya taifa lako sio jambo jema kabisa.