ndio kumbe nini
si bora mie
hao wanogawa uchi ili waishi wanatafta utajiri.?!!
wenzio km wewe walinicheka hvyo hvyo asa hv wanakopa dukani kwangu.!
maisha yanaenda
Kama sio mawazo ya kimasikini, je, unawashauri wasichana wote waolewe mapema kama wewe kwa sababu ya mishahara midogo?