Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,408
- 5,086
mbona mna mbwerambwera
ha ha ha wanambwera mbwera ndiyo nini hiyo mkuu.
mbona mna mbwerambwera
Ndugu hebu eleza vizuri hiyo mishahara imetoka lini na wewe unafanya kazi halmashauri gani!!!! :angry:kwangu imesoma hivyo vipi huko kwenu,,? hii ni kwa mtu mwenye degree nazani cheti na diploma watakuwa wamepata nyingi kidogo.:bange:
kwangu imesoma hivyo vipi huko kwenu,,? hii ni kwa mtu mwenye degree nazani cheti na diploma watakuwa wamepata nyingi kidogo.:bange:
kama Tsh.38000 TGTS D1 walimu.Tutasubiri sana.
kwangu imesoma hivyo vipi huko kwenu,,? hii ni kwa mtu mwenye degree nazani cheti na diploma watakuwa wamepata nyingi kidogo.:bange:
Wameongeza 54000 degree
Mimi kwangu ongezeko ni Tsh.112,000/= na salary yangu ni TGS D2. sijui wamesahau kukata kodikwangu imesoma hivyo vipi huko kwenu,,? hii ni kwa mtu mwenye degree nazani cheti na diploma watakuwa wamepata nyingi kidogo.:bange: