Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Kwa sisi tunaotumia majina yetu na CV zetu halisi tumeweka wazi, humu ndiyo connections zinapoanzia unakuta linked link, kuna anaekuhitaji akiona CV anakuunganisha mara umepata mchongo.
sasa kuna wale anakuona jina lako anakumbuka mlisoma wote Wailes, ana request friendship, unamuona ni Queen nani nani amesoma Havard, mmh ukifikiria Queen nilikutana nae wapi mimi, Havard sijawahi kusoma mimi.
mkikutana siku moja kwenye ngoma ya kumtoa mwari anaanza Sky wewe umenichunia huni accept kama rafiki, wewe si Mercy wewe umeniomba lini urafiki.
anajibu mimi ndiyo Queen bwana ni accept ili tuwe tunachat. Khaa Mercy ulisoma Havard unaambiwa kauka mjini hapa.
sasa kuna wale anakuona jina lako anakumbuka mlisoma wote Wailes, ana request friendship, unamuona ni Queen nani nani amesoma Havard, mmh ukifikiria Queen nilikutana nae wapi mimi, Havard sijawahi kusoma mimi.
mkikutana siku moja kwenye ngoma ya kumtoa mwari anaanza Sky wewe umenichunia huni accept kama rafiki, wewe si Mercy wewe umeniomba lini urafiki.
anajibu mimi ndiyo Queen bwana ni accept ili tuwe tunachat. Khaa Mercy ulisoma Havard unaambiwa kauka mjini hapa.