Mbona hakuna cha ajabu hapo.Ndiyo maana hata dukani mtu kujipima kwanza kabla ya kununua anaruhusiwa!
Hiyo itabebwa na kunguru lazima..
Ngoma droo!Na katika wanawake watatu, mmoja ni .................. kwa kuanzisha vitu vya ajabu!.... Sawa?!
umenusurika juzi leo umepata majibu hahaha very interestingNimenusurika kupata ngoma juzi, sitaki hata kuwaona hawa
Haya nitafute huko pm nikupe upakoNa kweli, miye ni flatscreen!
Naridhika na flatscreen yangu sitaki mchina!Haya nitafute huko pm nikupe upako
Skupi mchina nakunawirisha mama yo yooNaridhika na flatscreen yangu sitaki mchina!