Huko Uswahilini ni Balaa!

Huko Uswahilini ni Balaa!

6b7d0f2f16625712bbff8ee465a8ea19.jpg
Mbona hakuna cha ajabu hapo.Ndiyo maana hata dukani mtu kujipima kwanza kabla ya kununua anaruhusiwa!
 
Mbona hakuna cha ajabu hapo.Ndiyo maana hata dukani mtu kujipima kwanza kabla ya kununua anaruhusiwa!
Mkuu ni duka gani hilo na wapi wanakoruhusiwa kujaribu "pichu" kabla ya kununua?
 
Joto kali lakini wanawake waliokulia Pwani sio umtoe Moshi ama Mbeya thubutu hawezi ujinga huo
 
Mchora katuni Mungu anakuona..
Hii watu kibao watakuwa wameshaipigia puli sana
 
Back
Top Bottom