Wazee acheni tu; ni mji msafi sana, mimi ninapita hapo mara mbili-tatu kila mwaka nikiwa safarini kwenda/kurudi kibaruani. Dar haifikii hata 60% ya juhudi wanazofanya hawa jamaa kuweka jiji lao katika hali ya usafi na nidhamu ya usafi na usalama. Ni mwiko kukojoa ovyo, kutupa taka ovyo, na maeneo ya kutupa taka yapo, provided for that purpose. Katika bodaboda lazima riders wavae helmet, under penalty of jail time on violation. Na ainafuatiliwa kikweli. Hawa jamaa ni wa-sure, bwana. Kigali has the reputation of being the cleanest city in Africa. N akuna mengi tu mengine ya kuigwa.