Huko Mbezi Beach....anayepajua hapa leo atuambie!!!!!

Huko Mbezi Beach....anayepajua hapa leo atuambie!!!!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,773
Reaction score
2,383
Original crossing by 4WD.jpg
Haya wadau, habu tujaribu kujiuliza hapa ni wapi?
Wengi wetu tunapita hapa kila siku sasa hivi.
 
sina hakika ila nahis labda samaki hapo barabara ya bamboo
 
nilijua ni zile picha za Mtambuzi, nimekodoa macho wee wapi! sioni nini wala nini mdimbwi tu aaah.
 
Last edited by a moderator:
nilijua ni zile picha za Mtambuzi, nimekodoa macho wee wapi! sioni nini wala nini mdimbwi tu aaah.

Naona kweli kabisa Mbezi Beach wageni ni wengi kuliko wenyeji wa siku nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Hapo si kwenye ule mto unaogawa Kawe and Mbezi beach, njia ya chini? Nakumbuka enzi hizo hii njia ilikuwa haina foleni kabisa kwa sababu ya madimbwi and maandaki yake lakini siku hizi ni lami tupu. Enzi hizo wakati wa mvua kulikuwa hakuna uhakika wa kufika unakokwenda. Kweli Dar es Salaam imeendelea, Mbezi beach siku hizi kama Sinza.
 
Hapo si kwenye ule mto unaogawa Kawe and Mbezi beach, njia ya chini? Nakumbuka enzi hizo hii njia ilikuwa haina foleni kabisa kwa sababu ya madimbwi and maandaki yake lakini siku hizi ni lami tupu. Enzi hizo wakati wa mvua kulikuwa hakuna uhakika wa kufika unakokwenda. Kweli Dar es Salaam imeendelea, Mbezi beach siku hizi kama Sinza.
Nice try lakini jaribu tena!
 
image.jpg
The bigger picture in 2007.
Miaka hiyo ukiwa na corolla sehemu hizo kupita wakati wa masika ungweza kusombwa.
 
Hio ni kama miaka kumi ilopita hio njia nikiipita sana nikienda kwa dadaangu...Na kukinyesha mvua ilikuwa ndo balaaa!!!
 
Back
Top Bottom