Kiyoya JF-Expert Member Apr 3, 2012 1,646 820 Nov 29, 2012 #1 Enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Nov 29, 2012 #2 Kiyoya said: Enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko Click to expand... mpaka sasa wengine hatujasikia chochote....hebu tupe maudhui ni nini ili tufuatilie......
Kiyoya said: Enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko Click to expand... mpaka sasa wengine hatujasikia chochote....hebu tupe maudhui ni nini ili tufuatilie......
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,387 Nov 29, 2012 #3 preta said: mpaka sasa wengine hatujasikia chochote....hebu tupe maudhui ni nini ili tufuatilie...... Click to expand... sawa sawa...
preta said: mpaka sasa wengine hatujasikia chochote....hebu tupe maudhui ni nini ili tufuatilie...... Click to expand... sawa sawa...
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,387 Nov 29, 2012 #5 kiyoya said: enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko Click to expand... una wasi wasi wa nini...umeleta mada robo robo mkuu,...come again..!
kiyoya said: enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko Click to expand... una wasi wasi wa nini...umeleta mada robo robo mkuu,...come again..!
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,387 Nov 29, 2012 #6 marire said: usikute unaota mkuu Click to expand... bila shaka mkuu
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Nov 29, 2012 #7 Yuko anaendelea kupata Wisky baada ya kufungua jengo la EAC....au umesikia ameanguka tena mkuu?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 56,607 93,386 Nov 29, 2012 #8 PakaJimmy said: Yuko anaendelea kupata Wisky baada ya kufungua jengo la EAC....au umesikia ameanguka tena mkuu? Click to expand... Mimi nilidhani anamuulizia Rais wa Arusha Godbless Lema, kumbe yeye anamuulizia huyu Rais Diaspora?
PakaJimmy said: Yuko anaendelea kupata Wisky baada ya kufungua jengo la EAC....au umesikia ameanguka tena mkuu? Click to expand... Mimi nilidhani anamuulizia Rais wa Arusha Godbless Lema, kumbe yeye anamuulizia huyu Rais Diaspora?
C CHRISTURKER JF-Expert Member Nov 24, 2012 266 54 Nov 29, 2012 #9 We Kiyoya wewe! umepotelea wapi? si mkubwa tu wewe!!!
Iron Lady JF-Expert Member Mar 4, 2008 4,071 1,363 Nov 29, 2012 #10 sasa mleta mada angetudokeza ingefaa katuacha juu juu si tutajuaje sasa kasikia yeye halafu anataka sisindio tumwambie.
sasa mleta mada angetudokeza ingefaa katuacha juu juu si tutajuaje sasa kasikia yeye halafu anataka sisindio tumwambie.
Domy JF-Expert Member Dec 12, 2011 4,700 1,086 Nov 29, 2012 #13 Watu wengine bwana!......sasa ndio nini hiki umeleta.