Huko arusha vipi

Kiyoya

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,646
817
Enyi watu wa arusha tafadhari niondoeni wasiwasi kuna habari nimesikia juu ya rais wetu-shwari huko
 
Yuko anaendelea kupata Wisky baada ya kufungua jengo la EAC....au umesikia ameanguka tena mkuu?
 
sasa mleta mada angetudokeza ingefaa katuacha juu juu si tutajuaje sasa kasikia yeye halafu anataka sisindio tumwambie.
 
Back
Top Bottom