Hawa ndio Watanzania waliolaanika...sio ajabu kwa haya yanayo fanyika sasa...mashirika yote ya Umma yaliyobinafsishwa yalikufa kwa mitindo type hiii....sasa kwa hili kama style ndio hii kuna picha kama mbili hivi hapa..inawezekana ikawa ni maagizo rasmi kutoka kwa kundi flani kukwamisha jitihada za Muheshimiwa ionekane kuwa alitaka sifa lakini si mnaona imeshindikana...au ni kwa makusudi linafanyika hili kwa sasa kwasababu ni mwanzo ili iwe ndio mpenyo wa hujuma za mapato kuingia kwenye mifuko ya watu...kwa kutengeneza mazingira from the day one kwamba matapo halisi Train inapojaa au kuwa tupu yasijulikane huu uwe uchochoro mzuri wa kuiba...kwa sababu kwa vyovyote vile huduma hiii haiwezi kuendeshwa kwa hasara..hapa ni faida tupu kwa hali ya usafiri ilivyo Dar es salaaam.
Sasa Muheshimiwa mimi nafahamu wewe ni mtembezi sana mitaaa hii....Kaka usicheke na Kima..kama ukicheka na Kima aibu itakuwa yennu...Fukuza watu hapa kama huna akili sawasawa..usicheke nao hawa Fisi maji kabisa...ni hayo muheshimiwa