Katika Hali yoyote Haya unayoyasema Niliyategemea!! Ila cha Muhimu ni Kuwa na Uwajibikaji siku Zote!! Fikiria kuweka ratiba Kwenye Kila kituo sio Kitu Kigeni katika Jamii yoyote iliyostarabika!! Huwezi Kwenda Kupanda Train bila kujua ratiba yake!
Sasa Hawa wafanyakazi wa TRC mbona wanaonekana kama wanahujumu Kazi yao wenyewe?? Ni bora Mheshimiwa Mwakiembe akapendekeza responsible person incharge of complains!
And make a quick solution, Tupo karne ya 21, Haya madogo kwa nini yatushinde??
Watanzania kila kitu tunakipuuza. Kuweka ratiba ya train huhitaji kupitia chuo kikuu.
Nchi yetu imejaa wapuuzi wengi mno kwenye madaraka. Hivi umewahi kujiuliza imekuwaje mpaka leo hii sehemu kama za Sinza, mbezi Beach, etc. hakuna majina ya mitaa?