mdalamishi
Senior Member
- Apr 15, 2023
- 181
- 181
- Thread starter
- #41
Asisahau kuniwekea pilipili na ndimu pembeniItafutie chapati supu safi sana hiyo.
Asisahau kuniwekea pilipili na ndimu pembeniItafutie chapati supu safi sana hiyo.
Nandio mpira utakua umemaliza hapo dakika ya hiyo hiyo tunachukua ubingwa kiurahisi.Ile ya moshi ndio nzuri, paka elfu moja wakiruhusiwa itakua ngumu kuwamudu na kuendelea na mpira tena
Kitengo cha paka wapewe Simba..!!Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri.
Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji wa USM hivyo tujifunze na sisi Mbinu ambayo itakayoleta matokeo mazuri kwa kutumia Mbinu zifuatazo.
1. Ikitokea timu zetu zimefika hatua kama walioifikia yanga tunatakiwa tuwe kitu kimoja hakuna simba Wala Azam sote tuwe kitu kimoja.
2. Kuundwe kamati yahujuma.
3. kamati ishirikiane na TFF kusiwe kuna pande mbili zinazovutana.
4. TFF iruhusu kila shabiki Angie na paka kwenye kiroba,idadi ya paka isipungue 1000,timu ikishinda tuwe standby kuwafungulia paka hao waingie uwanjani ili kupoteza muda.
Asanteni.
Tupo tayari
Mtaarifuni na Mshana JrTupo tayari